Maswali ya usahili TRA

Maswali ya usahili TRA

mpaka utumishi wakakuita means umesomea ulicho kiomba, ila msaada kuomba sio vibaya watu wako kitaaa mwaka wa tano huu hizo desa anazikumbuka vip, yuko sahihi kuomba msaada
Nadhani ujanielewa Kuna watu wemesoma Tax kwenye chuo miaka 2 au 3, halafu Kuna watu wemesoma hiyo Tax semistar 1 au 2, ujuzi wa mambo lazima utakuwa tofauti.
 
Kwa waliosoma taxation tunaomba tu hao utumishi wapite humohumooo😀😀😀😀😀
 
Question
Five employees were climbing a hill. J was following H. R was just ahead of G. K was between G & H. They were climbing up in a column. Who was the second?
J, G, K, R or H?
 
Mtaenda shangaa mnakutana na maswali ya kawaida sana, unaweza kuta maswali ya hesabu kama statistics, na mambo mengine general... Hawa tra wana akili sana, wakiwapa maswali ya class mengi, watu watapasua... nawaambieni tena, unaweza shangaa kuta swali unaulizwa taja Makamishina wakuu wote wa TRA , tangu ilipoanzishwa, lengo lao mfeli wengi wawafukuze kijanja.......
 
Huwa wanatoa masawali ya general na hesabu za kutafuta namba inayofuata,ya masaa,utaje boarders za TRA.
Sasa kwa vile watu ni wengi hapo unaweza kuletewa maswali ya VAT,return na hata mengine kutoka custom bonded area, na kwenye post ya accountant yanaweza yakawekwa maswali ya bookkeeping yale yakawaida hata wanaweza wakaweka ya share ilikupunguza idadi ya watakao ingia hatua nyingine.
Kwenye hatua ya Oral unachotakiwa kujua majukumu ya nafasi unayoiomba,kujielezea wewe mwenyewe historia yako, code of ethics kwa wahasibu,strength na weakness zako.
 
Cko dsm kw sasa. But ushauri wangu kwa hyo post, usisahau kupitia issue ya property tax kwani ndo current issue kwa ss TRA. Pitia sheria inayo-govern collection yake (The Urban Authorities Rating Act, pamoja na mabadiliko yake yote). Issues za Sign bord levy ss hv ndo zmeamishwa toka halmshauri kuja TRA. So nazo jaribu kupitia summary yake like rates zake zkoje, due date, who are exempted etc
Thanks
vipi kuhusu custom officer mkuu
 
Kwanini Usimpe haya

1. Define the term Smuggling as Used in Tanzanian's Tax Law.

2. Powers Given to prevention of Smuggling Officer

3. Differentiate between Districted and Prohibited goods

4. Mention 5 Restricted items under the EACMA
List 5 prohibited items under the EACMA

5. Describe the following terms as Used in VAT Act
(a) Zero Rated Supplies
(b) Exempt Supplies
(c) Standard Supplies
(d) Out of VAT Scope


6.Differentiate between Identical items and Similar items

7.List items which are included in calculation of
-Business income
-investment income
-Employment income

8.

Interview za kisasa hazipimi mtu amekariri vitu kiasi gani na kama hayo ndiyo probable questions it's very wrong. Leo watu wanatakiwa wapimwe uwelewa wao na jinsi gani mind zao zina uwezo kutatua matatizo ambayo watakutana nayo wakati wa kutimiza matatizo yao. Creaming is out of date, hivyo vingine ni basics ambazo waajiliwa wanapaswa kuzitambua kabla ya kuanza majukumu watakapoajiliwa. Let's move with time team.
 
Cko dsm kw sasa. But ushauri wangu kwa hyo post, usisahau kupitia issue ya property tax kwani ndo current issue kwa ss TRA. Pitia sheria inayo-govern collection yake (The Urban Authorities Rating Act, pamoja na mabadiliko yake yote). Issues za Sign bord levy ss hv ndo zmeamishwa toka halmshauri kuja TRA. So nazo jaribu kupitia summary yake like rates zake zkoje, due date, who are exempted etc
Thanks

Mjue hata sisi Wa TRA tuko humu jukwaani tunawapimia tu
 
Interview za kisasa hazipimi mtu amekariri vitu kiasi gani na kama hayo ndiyo probable questions it's very wrong. Leo watu wanatakiwa wapimwe uwelewa wao na jinsi gani mind zao zina uwezo kutatua matatizo ambayo watakutana nayo wakati wa kutimiza matatizo yao. Creaming is out of date, hivyo vingine ni basics ambazo waajiliwa wanapaswa kuzitambua kabla ya kuanza majukumu watakapoajiliwa. Let's move with time team.
Inaonesha Hajawahi Kufanya Interview za Utumishi waulize watu waliopiga Wizara ya Mambo ya Nje Maswali ya International Trade Yale Yale ya Kwenye CPA kama Umesoma Mambo sociology huko Usipotoshe Masomo ya Biashara yana Uwanja Mpana Sana mkuu nakumbuka interview ya Mwaka 2015 ya TRA Maswali yalikia ya CPA (Board tuu)
 
Inaonesha Hajawahi Kufanya Interview za Utumishi waulize watu waliopiga Wizara ya Mambo ya Nje Maswali ya International Trade Yale Yale ya Kwenye CPA kama Umesoma Mambo sociology huko Usipotoshe Masomo ya Biashara yana Uwanja Mpana Sana mkuu nakumbuka interview ya Mwaka 2015 ya TRA Maswali yalikia ya CPA (Board tuu)

We are backwards
 
Kwanini Usimpe haya

1. Define the term Smuggling as Used in Tanzanian's Tax Law.

2. Powers Given to prevention of Smuggling Officer

3. Differentiate between Districted and Prohibited goods

4. Mention 5 Restricted items under the EACMA
List 5 prohibited items under the EACMA

5. Describe the following terms as Used in VAT Act
(a) Zero Rated Supplies
(b) Exempt Supplies
(c) Standard Supplies
(d) Out of VAT Scope


6.Differentiate between Identical items and Similar items

7.List items which are included in calculation of
-Business income
-investment income
-Employment income

8.
Ungeweka na majibu basi kama unayajua
 
Kwanini Usimpe haya

1. Define the term Smuggling as Used in Tanzanian's Tax Law.

2. Powers Given to prevention of Smuggling Officer

3. Differentiate between Districted and Prohibited goods

4. Mention 5 Restricted items under the EACMA
List 5 prohibited items under the EACMA

5. Describe the following terms as Used in VAT Act
(a) Zero Rated Supplies
(b) Exempt Supplies
(c) Standard Supplies
(d) Out of VAT Scope


6.Differentiate between Identical items and Similar items

7.List items which are included in calculation of
-Business income
-investment income
-Employment income

8.
Ww siyo mtu mzuri kabisa daaah yan hadi nimeogopa, yan eeeeeeeeh mbona huko makazini asilimia kubwa vimeoooo? Kwa maswali haya aseee hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Question
Five employees were climbing a hill. J was following H. R was just ahead of G. K was between G & H. They were climbing up in a column. Who was the second?
J, G, K, R or H?
G
Maana walitumia mfumo huu
R G K H J...
Nipe correction kama nimekosea!
 
Back
Top Bottom