Maswali ya mwisho juu ya Escrow

Maswali ya mwisho juu ya Escrow

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Mniwie radhi kwa kuuliza. Nauliza kwa mara ya mwisho. Sitauliza tena. Nitabaki kimya hata kisemwe au kifanywe niní. Sitauliza tena juu ya Escrow. Nitasubiria tu kashfa za bomba la gesi na sukari. Basi.

Kwakuwa tumeambiwa na Rais kuwa mabilioni yaliyokuwemo Escrow yote yalikuwa ya IPTL. Na kwakuwa tumeambiwa na kuaminishwa na Rais kuwa mabilioni ya Escrow yalilipwa au kupewa mwenyewe ambaye ni IPTL.

Na kwakuwa mwenye mabilioni,IPTL,amechukua chake kiutaratibu na Serikali ilijua. Je,uchunguzi na hatua zinazoendelea kuchukuliwa hivi sasa zinalenga niní? Wanaochunguzwa wanachunguzwa kwa makosa yapi hasa?

Hata nisipojibiwa,nitaridhika kama mwafrika!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
Mimi sijui kwanini hata mlimani TV walikuajili mbugila kama wewe halafu huku unataka ukagombee ubunge pwani yani ulivyokichwa maji sijui nani atakuchagua.
 
Na kwakuwa mwenye mabilioni,IPTL,amechukua chake kiutaratibu na Serikali ilijua. Je,uchunguzi na hatua zinazoendelea kuchukuliwa hivi sasa zinalenga niní? Wanaochunguzwa wanachunguzwa kwa makosa yapi hasa?

Wanachunguzwa kwa uvunjaji wa maadili ya uongozi wa umma.Mfano Waziri Tibaijuka aliomba msaada kwa ajili ya Shule halafu hela ikawekwa kwenye akaunti yake binafsi badala ya akaunti ya shule.Kama kiongozi alitakiwa ahakikishe pesa ile inaenda akaunti ya shule.

Sasa wengine wanafuatiliwa kwa misingi ya namna hiyo
 
Mniwie radhi kwa kuuliza. Nauliza kwa mara ya mwisho. Sitauliza tena. Nitabaki kimya hata kisemwe au kifanywe niní. Sitauliza tena juu ya Escrow. Nitasubiria tu kashfa za bomba la gesi na sukari. Basi.

Kwakuwa tumeambiwa na Rais kuwa mabilioni yaliyokuwemo Escrow yote yalikuwa ya IPTL. Na kwakuwa tumeambiwa na kuaminishwa na Rais kuwa mabilioni ya Escrow yalilipwa au kupewa mwenyewe ambaye ni IPTL.

Na kwakuwa mwenye mabilioni,IPTL,amechukua chake kiutaratibu na Serikali ilijua. Je,uchunguzi na hatua zinazoendelea kuchukuliwa hivi sasa zinalenga niní? Wanaochunguzwa wanachunguzwa kwa makosa yapi hasa?

Hata nisipojibiwa,nitaridhika kama mwafrika!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Kalete wachunguzi hata wale wa kutoka pale kibaha kwenu changanya na wale wa uchagani ukweli ni kwamba ile pesa ni mali ya IPTL hutaki unaacha.
 
mniwie radhi kwa kuuliza. Nauliza kwa mara ya mwisho. Sitauliza tena. Nitabaki kimya hata kisemwe au kifanywe niní. Sitauliza tena juu ya escrow. Nitasubiria tu kashfa za bomba la gesi na sukari. Basi.

Kwakuwa tumeambiwa na rais kuwa mabilioni yaliyokuwemo escrow yote yalikuwa ya iptl. Na kwakuwa tumeambiwa na kuaminishwa na rais kuwa mabilioni ya escrow yalilipwa au kupewa mwenyewe ambaye ni iptl.

Na kwakuwa mwenye mabilioni,iptl,amechukua chake kiutaratibu na serikali ilijua. Je,uchunguzi na hatua zinazoendelea kuchukuliwa hivi sasa zinalenga niní? Wanaochunguzwa wanachunguzwa kwa makosa yapi hasa?

Hata nisipojibiwa,nitaridhika kama mwafrika!

Mzee tupatupa wa lumumba,dar es salaam
....nchi hii inaelekea kubaya maana jamaa haaminiki
 
Kalete wachunguzi hata wale wa kutoka pale kibaha kwenu changanya na wale wa uchagani ukweli ni kwamba ile pesa ni mali ya IPTL hutaki unaacha.

Wanachunguzwa kwa uvunjaji wa maadili ya uongozi wa umma.Mfano Waziri Tibaijuka aliomba msaada kwa ajili ya Shule halafu hela ikawekwa kwenye akaunti yake binafsi badala ya akaunti ya shule.Kama kiongozi alitakiwa ahakikishe pesa ile inaenda akaunti ya shule.

Sasa wengine wanafuatiliwa kwa misingi ya namna hiyo

Mimi sijui kwanini hata mlimani TV walikuajili mbugila kama wewe halafu huku unataka ukagombee ubunge pwani yani ulivyokichwa maji sijui nani atakuchagua.

Sawa Mama Miraji na Mama Salama JK.
Mmeeleweka
 
Kiapo chako ni kibaya, wala hutakuwa mjinga ukikiondoa, ya nini kujinyonga kwa tai na wajua ni kivazi cha heshima.

Kila swali shuruti lipate jibu, iko haja ya kukoma na kuwakomalia mpaka wajibu,
Yaweza kuwa umewauliza maana ya neno "Ngamia" tena si kwa kuwa hujui, bali kuupima ujuvi wao, wakikujibu "Ngamia" ni mnyama ni sii vinginevyo utakuwa umewasaidia wasikilizaji kuujua umbumbumbu wao, lakini wasipojibu nawe ukakaa kimya mjanja mzima utahesabi pamoja na majuha.

Manake maana nyingine ya "Ngamia" ni kamba!!!!

Ukapate kuwaonya mapema kuwa kama wanasubiri kitoweo (nyama ya ngamia) wamejifungia ndani ya chumba pamoja jibu sahihi yaani "kamba" na hatari inayowakabili ni kuwa wakijua ukweli wataitumia ngamia kujinyonga.
 
View attachment 214216
Msondo waliimba "Weka mambo hadhara tukusaidie ...." Jamaa kashindwa ila kuweka hadharani mambo hataki sasa wanaombwa wazee wanaojua kuongoza wamsaidie nchi inaangamia, inadharauliwa na kutengwa na wengine.
 
Wanachunguzwa kwa uvunjaji wa maadili ya uongozi wa umma.Mfano Waziri Tibaijuka aliomba msaada kwa ajili ya Shule halafu hela ikawekwa kwenye akaunti yake binafsi badala ya akaunti ya shule.Kama kiongozi alitakiwa ahakikishe pesa ile inaenda akaunti ya shule.

Sasa wengine wanafuatiliwa kwa misingi ya namna hiyo

Muhongo je?
 
Pambafu mkubwa wee! Kama fedha zilikuwa za IPTL kwa nini hazikuwekwa katika akaunti yake na badala yake zikawekwa Tegeta Escrow?!

Ziliwekwa kule kwa muda kwa kuwa kulikuwa na kesi kati wanahisa wa IPTL.Zikawekwa kwenye akaunti ya ESCROW ambayo hakuna mwenye hisa yeyote angeweza kuchukua hadi kesi imalizike.Zingewekwa akaunti ya IPTL mwanahisa yeyote angeweza amka asubuhi na kuzitoa pesa zote ndio maana zikawekwa kwenye ESCROW ACCOUNT.
 
Tunafanya uchunguzi kwa sababu ya kusafisha hali ya hewa iliyo sababishwa na Mwanasheria ambaye kwa bahat mbaya ushauri wake haukueleweka kuhusiana na Acc ya Escrow,hili la yeye kujiuzulu ni kusafisha tu hali ya hewa aliyoichafua mwenyewe

Nb: kuchafua hali ya hewa si sawa na ufisadi na wala si ushauri mbaya ,bali ni kutoelewa ushauri wa AG na kuutafsiri sivyo ndivyo!
 
Binti yangu mjepo,tulia chamani na utetee vya haki. Ulikotoka nako wanatetea maslahi ya taifa. Au unataka kuhama tena?

Mzee Tupatupa

Mzee tupa tupa utakapo nyamaza leo kuuliza swali jiandae kuwajibu wajukuu watakapokuuliza haya kesho........ simulizi hizi zitafika masikioni mwao nao watakuuliza na babu ulikuwepo? na je ulichukua hatua gani?
 
Back
Top Bottom