Chacha Steven Mokiri
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 2,011
- 2,232
Habari za muda mrefu, wakuu. Majukumu ya hapa na pale yameniweka mbali sana na humu. Nimekuwa mtu wa kuingia kusoma nyuzi na maoni ya watu bila kushiriki. Ila leo nina maswali mawili tunaweza jadiliana.
1. Biblia ni maandiko ya kale, ila maisha yanaendelea, kwa maana ya duniani na mbinguni. Ya duniani tunayafahamu kwa updates za cnn, itv au millardayo. Ya mbinguni tutayafahamu vipi? Je kama mbinguni ilitokea vita kuu nyingine na mbingu ikateketea? Au kama utawala wa mwanzo ulipinduliwa? Tutajuaje?
Swali la pili ni la kizushi, ila lina maana ukiliangalia kwa upana. Hivi Yesu angeambiwa aje duniani afe kwaajili yetu ila hakuna kufufuka kama binadamu wa kawaida, angekubali?
Tujadiliane kwa hoja. Sio alimradi umejibu...
1. Biblia ni maandiko ya kale, ila maisha yanaendelea, kwa maana ya duniani na mbinguni. Ya duniani tunayafahamu kwa updates za cnn, itv au millardayo. Ya mbinguni tutayafahamu vipi? Je kama mbinguni ilitokea vita kuu nyingine na mbingu ikateketea? Au kama utawala wa mwanzo ulipinduliwa? Tutajuaje?
Swali la pili ni la kizushi, ila lina maana ukiliangalia kwa upana. Hivi Yesu angeambiwa aje duniani afe kwaajili yetu ila hakuna kufufuka kama binadamu wa kawaida, angekubali?
Tujadiliane kwa hoja. Sio alimradi umejibu...