Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,688
- 1,281
wanaume ujanja wanapokuanza ila ukitaka mnyamazisha anapojiweka karibu na wewe mpe kavukavu na kwa gafla NAKUPENDA uone wanavyonywea.
Kuna mkaka bishoo mtaani kwetu akiniona anajificha manake nilimuumbua kwa kumpa hiyo mbele ya marafiki zake pindi nilipoona ananizengea.
Duh mara akawa domo zege nikashindilia kama nitakavyo
Aaahh!! vibaya bana!