Justinejm
Senior Member
- Jul 6, 2015
- 129
- 26
Acha ujinga wewe Mpumbavu. Hapo UKAWA nani unamfananisha na Musa wa Israeli??? Lowassa hawezi kuwa kama Musa, Musa hakuwa mwizi wala fisadi kama Lowassa. Ingefaa sana ukimfananisha Lowassa na mpiga filimbi wa Hammelin aliyekuwa akipiga filimbi na mapanya yakimfuta nyuma na watoto wadogo. Matokeo yake wote waliokuwa wakimfuata walitumbukia korongoni.
Kumbe tatizo lako nimelifahamu wewe ndio walewale, umelewa mataputapu ya majizi ya ccm! Huyo kipipa wenu amewadanganya sasa kuwa wote ni wapumbavu nyang'au mbuzi mdogo wewe, nani aliempumbavu kati ya nyie vibaraka wa matajiri huku nyie mkisota na maisha ya bongo, wewe unaweza ukakaribia hata harufu ya utajiri wa 'ridhia uone', mtoto wa bwana yako wa mjengoni? Kibaka kama wewe unapewa nini wakati wenzio wamekula kwa spidi hivyo! Lofa na mpumbavu na pengine ni mngese pia ni ngedere kama wewe mwenye elimu ndogo na vihadithi vyako vya kipumbavu hivyo, mgao huo utabakia ni wa hao bwana nzenu ngedere kama wewe hupewi isipokuwa posho ya kuwapigia kampeni tu labda,