Maswali muhimu kuhusu Lowassa

Maswali muhimu kuhusu Lowassa

Siku zote nawaambia vijana wa UKAWA akili chache

Ona sasa huyu mchumia pesa anayoyaongea
Nonsense

Toen hoja kwa hoja


Jibu hoja zangu hapo
Nmesema lowasa mgonjwa
Mnafiki
Mwizi wa rasilimali ameiba ranchi ya taifa na kuwapa wamasai wenye ng'ombe zake had ndugu zetu wakulima na wafugaj wanauana

Mwz
Aliiba kwenye Richmond
Bunge zma likathbitisha hilo
Na akawajibishwa .


Njoon na hoja
Sio kama za huyo mchumia pesa


Nenda upime leo ukikutwa mzima 100% uje nikupe hela unazotaka...
Wizi wake ulitungwa bungeni ili tu kuiokoa serikali dhaifu ya Kikwete...
Na ni wabunge hao hao walithibitisha kuwa Mhe. Lowassa akuwa ameiba hata senti tano za Richmond...
Rais dhaifu Kikwete naye pamoja na serikali yake walimsafisha...

Na je tangu aondoke 2008 wizi umeisha...?? Nijibu...?? Na kama bado wizi upo nani sasa ni mwizi aloondoka au wanaoendelea kuwa kwenye system...??
Mnatuibia sisi wananchi kwa siri alafu mnakuja kuaibishana hadharani... Majizi makubwa nyie....
CCM kichaka cha majizi ndo maana mnajificha huko ili matendo yenu haramu yasijulikane....

Eti unafiki; Mnafiki atakuwa nani zaidi ya Mwenyekiti wenu ...
Mdhaifu, mnafiki, mzandiki, tapeli mkubwa sana yule...
Yeye ndo mwizi nambari 1; kaingia maskini anatoka akiwa tajiri...
Kalewa sifa anataka hadi kushindana na waliombeba kwa mbeleko...
Au ndo maskini akipata makalio hulia mbwata mbwata....
Mwambieni akumbuke "alotangulia katangulia..."

Mlishaambiwa mjiandae kisaikolojia....!!! Je, ulimsikia juzi akisema msilaumiane kama ni maamuzi mlifanya wote...??

Bora "mwizi" aliyeongoka tunayemfahamu vizuri kuliko malaika tusiyemfahamu anaendelea kuishi pamoja na wezi...!!!

Kumbuka Tanzania inahitaji mabadiliko na muda muafaka ni sasa....!! TOROKA UJE!!
 
huo ufisadi aliufanya akiwa chama gani?. na walichukua hatua gani juu yake?. UkAWA hakuna fisadi mafisadi wamejificha ugambani maana fisadi hawezi kuwa salama nje ya ccm. swala la ugonjwa usilisemee mwenyekiti wenu anatezi........ mbona hajamfukuza uenyekiti?. ilikuwa lazima awape wamasai maana ndio aliokuwa anawatumikia ka mbuge wao ulitaka awape wagogo?. Si msaliti nyinyi ndio wasaliti. katiba yenu inasema anayekubalika ndio achaguliwe nyie mkamukata mlitaka aende wapi na mafuriko ya watu waliokuwa nyuma yake?. Kamanda mmoja UKAWA ni sawa na magamba buku. LOWASA atawanyosha mwaka huu mtajuuuuta kumkata. lete hojaa na sio vioja.

Yaaaan mwana ukawa hapo ndo umejipinda sasa?

Poor yu
Yaaan unauliA lowasa alipoiba tulimfanya nn?

Haha
1.tumlimuwajibisha
Akaachia ngaz na kurud kwao monduli

2.akafikiri tumesahau wiz wake akachukua fomu ya urais
Tukamla kichwa
 
Nenda upime leo ukikutwa mzima 100% uje nikupe hela unazotaka...
Wizi wake ulitungwa bungeni ili tu kuiokoa serikali dhaifu ya Kikwete...
Na ni wabunge hao hao walithibitisha kuwa Mhe. Lowassa akuwa ameiba hata senti tano za Richmond...
Rais dhaifu Kikwete naye pamoja na serikali yake walimsafisha...
Hii ni siasa wala si shughuli ya ukeketeji kwamba ukikeketwa unabaki na alama ya kudumu...!!

Mnafiki, mzandiki, tapeli ni mwenyekiti wenu dahifu.
Yeye ndo mwizi nambari 1; kaingia maskini anatoka akiwa tajiri.
Kalewa sifa anataka hadi kushindana na waliombeba kwa mbeleko...
Alotangulia katangulia...

Mlishaambiwa mjiandae kisaikolojia....!!! Je, ulimsikia juzi akisema msilaumiane kama ni maamuzi mlifanya wote...??

Bora "mwizi" aliyeongoka tunayemfahamu vizuri kuliko malaika tusiyemfahamu anaendelea kuishi pamoja na wezi...!!!

Kumbuka Tanzania inahitaji mabadiliko na muda muafaka ni sasa....!!

Ndo maana kwenye timu ya kampeni taifa amewekwa dkt mwakyembe
Na samwel sita
Wanajua wizi wote wa huyo mzee wenu
Na hamtatudanganya kitu

Na kiboko yenu Makongoro
Hahahhahah

Mwaka huu ikulu mapema asubuhi tu
 
1439967493570.jpg 1439967493570.jpg 1439967493570.jpg
Yaaaan mwana ukawa hapo ndo umejipinda sasa?

Poor yu
Yaaan unauliA lowasa alipoiba tulimfanya nn?

Haha
1.tumlimuwajibisha
Akaachia ngaz na kurud kwao monduli

2.akafikiri tumesahau wiz wake akachukua fomu ya urais
Tukamla kichwa

tulieni sasa kimnyaaaa dawa iwaingie vemaa. mmeliangusha dodo UKAWA wameliokota tulieni LOWASA awanyevue kisawasawa kelele za nini. teh teh teh. hebu lete sera za mapedlock.
 
Nimekaa nikatafakari sana, nikajiuliza sana, nikaamua na mimi kutoa maoni yangu juu ya mwenendo wa siasa hapa nchini Tanzania hasa kwa kipindi hiki tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu. Nimejiuliza maswali muhimu mawili (2) magumu ambayo nimeshindwa kupata majibu kusuhu huyu mgombea wa uraisi kupitia umoja wa vyama vya UKAWA.

1. Kwa nini vijana wengi hasa wasiokuwa na ajira, walalahoi na mamalishe humshabikia sana Lowassa wakati wasomi, wazee makini na kiujumla watu “MAKINI” wakimpinga? Je ni kwa sababu Lowassa “ANAUCHUKIA” umasikini? Je Lowassa akiwa raisi ataoneshaje kuwa ni kwel unauchukia umasikini kwa hawa mamalishe na hawa vijana wasiokuwa na kazi? Atafanya nini hasa kwa haya makundi anayopenda “KUJIOSHEA” wakati wa hoja zake za kutafuta kura? Nachokijua mimi hizo ni kauli za kisiasa tu katika kutafuta kura. Nasema hivyo kwa sabubu zifuatazo:-

a) Kwanza mimi siamini kama kuna urafiki kati ya “TAJIRI” na “MASIKINI”. Hakuna huo urafiki, haupo.

b) Nyuma ya Lowassa kuna watu kama Lostam, Kalamagi ambao wote ni matajiri. Lowassa anatumia umasiki wa haya makundi kuyalaghai akijua pia kuwa ni ‘MASIKINI WA KUFIKIRI’ na wasiokuwa na uwezo wa kutafakari mambo.

c) Tatizo la ajira kwa vijana kwa sasa halitatuliki kwa njia yoyote, hata kama ni kujenga viwanda kila kata. Vijana wanaohitimu vyuo ni wengi sana kila mwaka. Uwiano wa kila kazi moja inayotangazwa kwa sasa ni 1:90. Na bado watu tunazaa kama hatuna akili nzuri. Tatizo la ajira kwa sasa sio tena kusema utajenga viwanda. Hebu kama kweli unataka kuwa raisi njoo na hoja tofauti ili watu “MAKINI” tukuelewe.

2. Kwa nini Lowassa ameng’ang’ania sana uraisi? Kuna biashara gani pale ikulu? Hadi kufikia hatua ya kukisaliti na kukihama chama? Ana ajenda gani? Na kama ameweza kukisaliti chama kilichomlea tangu mwaka 1977 takribani miaka 38 atashindwa kuisaliti nchi kweli kwa miaka 5?

Lowassa kiujumla yuko na uroho wa madaraka, uraisi kwake ni kufa na kupona. Na mbaya zaidi anatumia kundi la vijana hasa wasiokuwa na ajira (wasiokuwa na uwezo wa kufikiria na kudadavua mambo) ambao ndo wengi kuwalaghai na kauli ya “NACHUKIA UMASIKI” wakati hakuna urafiki kati yake yeye tajiri na umasikini.

Hizi ndio akili mgando zilizojengewa nchi hii katika kipindi cha miaka hamsini ya uhuru wetu.

Kudhani ajira zinatengenezwa maofisini tu!

kudhani aliyepata kapata na aliyekosa kakosa.

Kudhani wanaostahili kufurahia matunda ya nchi hii ni matajiri na viongozi na watoto wao.

Kudhani mamalishe na bodaboda ndio wameandikiwa dhiki.

Mleta mada, kajifunze ajira ni nini?
 
Ndo maana kwenye timu ya kampeni taifa amewekwa dkt mwakyembe
Na samwel sita
Wanajua wizi wote wa huyo mzee wenu
Na hamtatudanganya kitu

Na kiboko yenu Makongoro
Hahahhahah

Mwaka huu ikulu mapema asubuhi tu

Najua unajua kuwa ukweli ukiwa nao wala nafsi yako haisumbuki... Waleteni; tunawasubiri...!

Mnapojiandaa kuja kutukana watu kwamba ni wezi; mjitahidi na nyie wizi wenu muufiche...
La sivyo mjiandae kisaikolojia...
Mlianza kwa kumwaga mboga sisi tukamwaga ugali.... Mwaka huu hakuna jiwe litabaki bila kufunuliwa..!

Mkija msizungumze ya Richmond peke yake; zungumzeni na ya EPA, Escrow, etc make wizi ni wizi tu...!!

"Alikuwa "mwizi" alipokuwa CCM; kaja UKAWA amekuwa msafi... Yaani ni kama nguo baada ya kufuliwa... Uchafu wote mmebaki nao huko huko kwa CCMafisadi na CCMajizi...!!
 
b) Nyuma ya Lowassa kuna watu kama Lostam, Kalamagi ambao wote ni matajiri. Lowassa anatumia umasiki wa haya makundi kuyalaghai akijua pia kuwa ni ‘MASIKINI WA KUFIKIRI' na wasiokuwa na uwezo wa kutafakari mambo.

Tatizo la ajira kwa sasa sio tena kusema utajenga viwanda. Hebu kama kweli unataka kuwa raisi njoo na hoja tofauti ili watu "MAKINI" tukuelewe.

Kwanza nikuhakikishie wewe sio mtu makini. Na kama ulikuwa unadhani unakaribia hata kuwa mtu makini, unajidanganya...

Mtu MAKINI hawezi kukosea majina ya common figures kama hao...

Uandike Lostam badala ya Rostam au Kalamagi badala ya Karamagi, yet ujiite makini?!!!

Siku ukiwa makini utaanza kumkubali Lowassa...
 
Fisadi lowassa kawanunua BAVICHA na Ikulu ataiskia kwenye radio
 
SOMA HII KWA MAKINI: Nafasi ya Urais sio nafasi ya kupata "kama zali". Hata uwe kiongozi mzuri kiasi gani huwezi kushtukizwa na kupewa mikoba ya nchi kirahisi rahisi tu. Lazima uwe umejipanga, umejiandaa na uko tayari.


Hotuba za Magufuli zinadhihirisha kuwa aliingia kwenye kinyang'nyiro kwa kujaribu....
Sidhani kama Tanzania ni maabara ya kuendelea kufanya majaribio ya akina Kikwete...bila lengo mahususi, dira na muelekeo unaoeleweka zaidi ya utukufu wa kushika atamu....!!

Umepewa sh ngapi? Na mbowe
 
Kweli duniani maajabu hayaishi...yaani Leo hii CHADEMA WANASIMAMA UPANDE WA LOWASA NA KUSEMA NI MSAFI....!!!


MABADILIKO YES.....LOWASA NO....
 
Unajua ukweli ukiujua wala nafsi yako haisumbui... Waleteni; tunawasubiri...!
Mnapojiandaa kuja kutukana watu kwamba ni wezi; mjitahidi na nyie wizi wenu muufiche...
La sivyo mjiandae kisaikolojia...

Mkija msizungumze ya Richmond peke yake; zungumzeni na ya EPA, Escrow, etc make wizi ni wizi tu...!!

Tangu baba la ufisadi lowasa
Zee sugu la monduli
Limehamia ukawa
n nan ukawa anaubav tena wa kuongelea ufisad?
 
Kwanza nikuhakikishie wewe sio mtu makini. Na kama ulikuwa unadhani unakaribia hata kuwa mtu makini, unajidanganya...

Mtu MAKINI hawezi kukosea majina ya common figures kama hao...

Uandike Lostam badala ya Rostam au Kalamagi badala ya Karamagi, yet ujiite makini?!!!

Siku ukiwa makini utaanza kumkubali Lowassa...

Ndo umeona hapo tu kwenye herufi?

Unadhan kukosewa kwa heruf ndo kunapoteza ujumbe uliomo kwenye text?

Jibu maswali na hoja zipizomo usikwepe

Utuambie ugonjwa wa kuishiwa nguvu na kutetemeka lowasa ameuanza lin na anaendeleaje

Utuelezea kilichomfanya akatuibia mwaka 2008 nnn?

Utuambue kwann alisema tatzo n uwazir mkuu
Je tatzo litakapokuwa n urais atafanyaje?

Utuambia kwann anabadilika kila leo
Jana akiwa sehem ile ile anasifia
Kesho akiwa kwngine anaponda
Kigeu geu mkubwa

Atuambie klitokea nn mwaka 1995 dodoma?

Mtuambie kama ataweza kufanya mdahalo wa masaa matatu
Akiwa amesimam


la mwsho
Kama anatafuta urais ili apate unafuu wa kutibu maradhi yake
Aseme
Mbona serikali itampeleka tu ujeruman kwenye kliniki yake?
 
Nimekaa nikatafakari sana, nikajiuliza sana, nikaamua na mimi kutoa maoni yangu juu ya mwenendo wa siasa hapa nchini Tanzania hasa kwa kipindi hiki tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu. Nimejiuliza maswali muhimu mawili (2) magumu ambayo nimeshindwa kupata majibu kusuhu huyu mgombea wa uraisi kupitia umoja wa vyama vya UKAWA.

1. Kwa nini vijana wengi hasa wasiokuwa na ajira, walalahoi na mamalishe humshabikia sana Lowassa wakati wasomi, wazee makini na kiujumla watu “MAKINI” wakimpinga? Je ni kwa sababu Lowassa “ANAUCHUKIA” umasikini? Je Lowassa akiwa raisi ataoneshaje kuwa ni kwel unauchukia umasikini kwa hawa mamalishe na hawa vijana wasiokuwa na kazi? Atafanya nini hasa kwa haya makundi anayopenda “KUJIOSHEA” wakati wa hoja zake za kutafuta kura? Nachokijua mimi hizo ni kauli za kisiasa tu katika kutafuta kura. Nasema hivyo kwa sabubu zifuatazo:-

a) Kwanza mimi siamini kama kuna urafiki kati ya “TAJIRI” na “MASIKINI”. Hakuna huo urafiki, haupo.

b) Nyuma ya Lowassa kuna watu kama Lostam, Kalamagi ambao wote ni matajiri. Lowassa anatumia umasiki wa haya makundi kuyalaghai akijua pia kuwa ni ‘MASIKINI WA KUFIKIRI’ na wasiokuwa na uwezo wa kutafakari mambo.

c) Tatizo la ajira kwa vijana kwa sasa halitatuliki kwa njia yoyote, hata kama ni kujenga viwanda kila kata. Vijana wanaohitimu vyuo ni wengi sana kila mwaka. Uwiano wa kila kazi moja inayotangazwa kwa sasa ni 1:90. Na bado watu tunazaa kama hatuna akili nzuri. Tatizo la ajira kwa sasa sio tena kusema utajenga viwanda. Hebu kama kweli unataka kuwa raisi njoo na hoja tofauti ili watu “MAKINI” tukuelewe.

2. Kwa nini Lowassa ameng’ang’ania sana uraisi? Kuna biashara gani pale ikulu? Hadi kufikia hatua ya kukisaliti na kukihama chama? Ana ajenda gani? Na kama ameweza kukisaliti chama kilichomlea tangu mwaka 1977 takribani miaka 38 atashindwa kuisaliti nchi kweli kwa miaka 5?

Lowassa kiujumla yuko na uroho wa madaraka, uraisi kwake ni kufa na kupona. Na mbaya zaidi anatumia kundi la vijana hasa wasiokuwa na ajira (wasiokuwa na uwezo wa kufikiria na kudadavua mambo) ambao ndo wengi kuwalaghai na kauli ya “NACHUKIA UMASIKI” wakati hakuna urafiki kati yake yeye tajiri na umasikini.

CCM hata wakimfungulia Lowassa mafile ya kumchafua kiasi gani,na hata kama watajigeuza kuwa punda wa kubeba mafile ya kumchafua Lowassa na kuzunguka nayo nchi nzima itakuwa ni kujisumbua bure.

Wananchi tunachokijua ni kwamba Lowassa alikuwa ni kiongozi katika serekali ya CCM aliyeshika nyazifa mbalimbali ndani ya chama cha mapinduzi na ndani ya serekali ya CCM na ngazi ya mwisho kabisa aliyoishia ni ya uwaziri mkuu.

Tunaamini kuwa Lowassa ni msafi ndiyo maana aliaminiwa na CCM mpaka wakafikia hatua ya kumpa nafasi zote hizo ndani ya chama na ndani ya serekali ya CCM.

Usafi wa Lowassa ulikuja kuthibitishwa pia na TAKUKURU chombo ambacho kipo chini ya serekali ya CCM baada ya kuchunguza na kubaini kuwa tuhuma zote alizokuwa ana tuhumiwa Lowassa zilikuwa ni za kupikwa.

Kwa imani ileile ambayo CCM walimwamini Lowassa kuwa ni mtu safi na mchapa kazi mpaka wakaweza kumpa nyazifa mbalimbali katika chama chao na serekali yao.

Wananchi nao wanakuja kumchagua Lowassa kuwa Rais wao kama CCM walivyo mwamini Lowassa na kumfikisha ngazi ya juu,hata kama CCM watajigeuza punda wa kubeba mafile ya kumchafua nchi nzima lazima Lowassa awe Rais kwa vigezo vilevile walivyo vitumia mpaka Lowassa akaweza kufika ngazi za juu.
 
Jitu gonjwa
Halina nguvu
Fisadi
Tamaa
Saliti
Nafiki
King'ang'anizi

Kwnn anataka sana urais

Huyo atakuwa ana tamaaa

Visasi

Kurudisha gharama zake za uchaguzi

Hatuko tayr kuachilia jizi liende ikulu

Ukijitambua utabadilika......

Unatakiwa uchimbua mambo kiundani ndo utajua kweli ya lowasa...... Bado sumu uliomezeshwa ina tembea damuni.
 
By any means necessary; CCM itatoka tu. Uchambuzi wenu pamoja na maswali toka kwenye huu uzi hayana mashiko, wako graduates wengi wengi tu wanamsupport ENL/UKAWA/Chadema ..., wapo wazee wengi sana sana wanasupport opposition.
 
By any means necessary; CCM itatoka tu. Uchambuzi wenu pamoja na maswali toka kwenye huu uzi hayana mashiko, wako graduates wengi wengi tu wanamsupport ENL/UKAWA/Chadema ..., wapo wazee wengi sana sana wanasupport opposition.

Graduates walionunuliwa na fisad
na wazee wasiojitambua kama kingunge
Ndo wanakufanya na ww umshabikie huyo mgonjwa?
 
Back
Top Bottom