OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
1.Je ni serikali kweli imehusika?
2. Walikusudia kweli kumuua au kumtesa tu?
3.Kwa nini hawakumuua?
4.Kwa nini huo mpango wa mauaji ulipangwa kizembe hivo?
5. Kuna mkono wa mtu au kikundi kingine nje ya serikali eg. Blandina Nyoni?
6. Je serikali kama ndio wamehusika kwa nini wameharakisha hivo na bado waka fail, kwann wasingesubiri mgomo ukaisha?
7.Bado kuna mpango wa kumuua upo au umeahirishwa?
8.Serikali kama ilihusika inakuja na cover story gani kujisafisha?/
9.Haya matukio baada ya tukio yanaashiria nn? mfano usalama wa taifa kukamatwa chooni muhimbili akiwasiliana? mtuhumiwa kumtembelea ulimboka na ulimboka kumtambua??
Hebu tutulize akili zetu tutafakari kama great thinkers tujaribu kupata majawabu!!
2. Walikusudia kweli kumuua au kumtesa tu?
3.Kwa nini hawakumuua?
4.Kwa nini huo mpango wa mauaji ulipangwa kizembe hivo?
5. Kuna mkono wa mtu au kikundi kingine nje ya serikali eg. Blandina Nyoni?
6. Je serikali kama ndio wamehusika kwa nini wameharakisha hivo na bado waka fail, kwann wasingesubiri mgomo ukaisha?
7.Bado kuna mpango wa kumuua upo au umeahirishwa?
8.Serikali kama ilihusika inakuja na cover story gani kujisafisha?/
9.Haya matukio baada ya tukio yanaashiria nn? mfano usalama wa taifa kukamatwa chooni muhimbili akiwasiliana? mtuhumiwa kumtembelea ulimboka na ulimboka kumtambua??
Hebu tutulize akili zetu tutafakari kama great thinkers tujaribu kupata majawabu!!