samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,954
Naamini mko poa wakuu,
Mi kuna maswali huwa najiulizaga na sijawahi kuyapatia majibu.
1.Nini tofauti ya mchawi na mwanga?
2.Nitamjuaje mchawi au mwanga (dalili na ishara zake)
3.Nini lengo la mchawi au mwanga?
4.Nasikia kuwa wachawi au wanga hawaibi pesa,sasa mbona nasikia uchawi na wanga unanunuliwa kwa pesa?
5.Je wachawi au wanga wakikutana mchana au usiku wasipokuwa katika hali ya kichawi/kiwanga huwa wanaongelea mambo yao ya kiwanga/kichawi?
6. Kipi hasa kinachoweza kumfanya mchawi akuloge au mwanga akuwangie?
7.Hivi unaweza kumuona mchawi au mwanga bila kufanyiwa mambo ya kiuganga?
8. Kwanini watu wanaohisiwa wanga au wachawi ni jamii ambazo ni "masikini, fukara"?
9.Je kuna wachawi/wanga matajiri?
10. Inakuwajekuwaje hadi wachawi/wanga wanafanya mambo yao bila kuonekana ktk hali ya kawaida hadi ufanyiwe uganga?
11.Kwanini magonjwa ya kulogwa wanasema hayaonekani katika vipimo vya hospitali?
12.Ufanye nini ili usilogwe/usiwangiwe katika maisha yako yote ?
13.Je ni kweli wachawi/wanga wanakula nyama za binadamu. Kama ndio, kwanini hawali zile za wanyama poli/wakufugwa?
14.Kipi kitakufanya ujue kwamba hiyo sehemu unayopita/uliyokaa wanapita/wamekaa wachawi?
15. Ushahidi gani utawaeleza watu kuwa fulani anakuloga na ukaleta maana kwa watu unaowaelezea?
16.Kuna tofauti gani kati ya ugonjwa wa Hospitali na ugonjwa wa kulogwa?
Hapo kwa leo, unaweza ukaongezea maswali au nitayaongezea kutegemea na majibu yenu wakuu.
Mi kuna maswali huwa najiulizaga na sijawahi kuyapatia majibu.
1.Nini tofauti ya mchawi na mwanga?
2.Nitamjuaje mchawi au mwanga (dalili na ishara zake)
3.Nini lengo la mchawi au mwanga?
4.Nasikia kuwa wachawi au wanga hawaibi pesa,sasa mbona nasikia uchawi na wanga unanunuliwa kwa pesa?
5.Je wachawi au wanga wakikutana mchana au usiku wasipokuwa katika hali ya kichawi/kiwanga huwa wanaongelea mambo yao ya kiwanga/kichawi?
6. Kipi hasa kinachoweza kumfanya mchawi akuloge au mwanga akuwangie?
7.Hivi unaweza kumuona mchawi au mwanga bila kufanyiwa mambo ya kiuganga?
8. Kwanini watu wanaohisiwa wanga au wachawi ni jamii ambazo ni "masikini, fukara"?
9.Je kuna wachawi/wanga matajiri?
10. Inakuwajekuwaje hadi wachawi/wanga wanafanya mambo yao bila kuonekana ktk hali ya kawaida hadi ufanyiwe uganga?
11.Kwanini magonjwa ya kulogwa wanasema hayaonekani katika vipimo vya hospitali?
12.Ufanye nini ili usilogwe/usiwangiwe katika maisha yako yote ?
13.Je ni kweli wachawi/wanga wanakula nyama za binadamu. Kama ndio, kwanini hawali zile za wanyama poli/wakufugwa?
14.Kipi kitakufanya ujue kwamba hiyo sehemu unayopita/uliyokaa wanapita/wamekaa wachawi?
15. Ushahidi gani utawaeleza watu kuwa fulani anakuloga na ukaleta maana kwa watu unaowaelezea?
16.Kuna tofauti gani kati ya ugonjwa wa Hospitali na ugonjwa wa kulogwa?
Hapo kwa leo, unaweza ukaongezea maswali au nitayaongezea kutegemea na majibu yenu wakuu.