Maswali kwa PM Julai 14, 2011

Maswali kwa PM Julai 14, 2011

Swali: Milioni 12 kwa mwezi zinalipwa kwa Nyumba ya Mh. Sitta huko Masaki akiwa Spika na hivi majuzi kasafiri kwenda India na Familia yake kwa hadhi ya Spika.

Lini ataondoka katika nyumba ya Spika na kutopewa hadhi ya daraja la kwanza ili kuipunguzia serikali mzingo

Spika anaingilia kati: Huyu ni Spika mstaafu kama alivyo Msekwa na wengine wowote, hili si swali

Kapotozewa

Mh. Regia

Duh! akina Nape walivyokuwa wameukomalia mshahara/posho ya Slaa nadhani sasa ni muda muafaka walitolee maelezo hili!!!!!
 
Ishu ya mafuta naona sanaa tu! Hajajibu kitu! Anasema bei itashuka baada ya muda mpaka stock iishe wakati huo huo mafuta ya taa yalipanda tu baada ya tamko?

Mafuta ya Taa Mkuu, Faini za Askari wa barabarani hata hazikusubiri Bajeti ipite...Asubuhi yake tu jamaa wakaanza kazi. Kama si uimara na ujuvi wa mambo jamaa yangu alikuwa zishamtoka hizo Arusha
 
kama ni hivyo mbona wanambania mzee wa kiraracha bw lyatonga mafao yake ya unaibu waziri mkuu?kwa kisingizio kuwa cheo hko hakitambuliki katika katiba yetu?
 
Yaaani unajua mkuu nimeshangazwa sana na hayo maelezo kuhusu spika Sitta. Hivi kweli TZ tupo serious????????????
Nasikia hata Lowasa ni WM mstaafu pia pamoja na makandokando yote! Shamsi Vuai Nahodha naye ni WK mstaafu ndio maana aliendelea kukaa hotelini huku akitafutiwa nyumba ya hadhi hiyo nyingine. Pinda alikuwa hajui!
 
Duh! akina Nape walivyokuwa wameukomalia mshahara/posho ya Slaa nadhani sasa ni muda muafaka walitolee maelezo hili!!!!!

Kuna kulindana sana hii Nchi, kama kweli hilo ndivyo ulinzi stahiki anaopaswa kuwa nao Rais kama mambo haya anaendelea kuwa nayo kama tunavyoambiwa kwa Mh. Sitta basi Mzee wangu Ruksa asingekumbana na kile kibao kwa yule fedhuli.

Hapa ni kubebana kwa kwenda mbele.
 
Hiyo habari ya sitta itabiti tuianzishie thread yake tuijadili kwa kina wakuu..
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Alikuwa anajifuta jasho tu wakati swali linaulizwa hata hivyo bibi kiroboto kambeba. Kuwa ni stahiki yake kwa kuwa bado ana hadhi ya Spika Mstaafu na kuwa haki hizo huwa haziondoshwi kisheria

Inakuwaje Spika anajibu kwa niaba ya Serikali. Nani anayesimamia makazi ya viongozi wa serikali? Mama Makinda anajuwaje kuwa Sitta anastahili nyumba ya kifahari au banda la kuku? Why on why huyu Makinda anakuwa anajibu maswali yanayoulizwa kwa kiongozi wa serikali?
 
Swali: Milioni 12 kwa mwezi zinalipwa kwa Nyumba ya Mh. Sitta huko Masaki akiwa Spika na hivi majuzi kasafiri kwenda India na Familia yake kwa hadhi ya Spika.

Lini ataondoka katika nyumba ya Spika na kutopewa hadhi ya daraja la kwanza ili kuipunguzia serikali mzingo

Spika anaingilia kati: Huyu ni Spika mstaafu kama alivyo Msekwa na wengine wowote, hili si swali

Kapotozewa

Mh. Regia

Hivi jamani mbona tunadanganywa hivyo? hakuna mtu ana query na hadhi yake kama SPEAKER mstaafu, but kwa hili la nyumba sio taratibu zinavyotaka. Kama wastaafu wote wasingekuwa wanatoka kwenye nyumba walizokuwa wanakaa walipokuwa madarakani, hao warithi wao wangekaa wapi? Hata Raisi wa Russia alipoamua kuachia Urais na kuwa Waziri Mkuu hakuendelea kukaa kwenye nyumba ile ya awali

Ni kwamba viongozi wetu hawatilii maanani suala la gharama zisizo na msingi, na si huyo tu hata waziri wa mambo ya Ndani alikataa kuhamia nyumba yake pale Dar kwa kuwa haikuwa na hadhi ya Waziri Kiongozi Mstaafu, halafu akaamua kukaa hotelini.

Huyu sitta baada ya kupigwa chini kwenye nafasi ya uspeaker, aliomba kuendelea kukaa kwenye nyumba yake ya zamani, na kwa huruma za walioshika mpini akaachiwa, kama ni haki yake kwa nini aliiomba? Na je angefanikiwa kuhamia CCJ unadhani angeachiwa nyumba hiyo kwa msingi ule ule wa stahili na haki zake? Nikionacho mimi viongozi wengi waliopo madarakani wapo kwa ajili ya MONER, POWER & RESPECT na si kutumikia wananchi.
 
Thanks sana walioturipotia, hii inaionyesha hadhi ya JF ni kubwa sana kuliko gazeti lolote.
 
GR,hakika nakupa big up,unatupa kwa uzuri mambo yanayoendelea mjengon!ulipotea kidogo mpaka wa2 wanahoji GR wapi!tulikuwa tunazi'miss' habari za mjengon
 
Anauliza Kuhusu kuwawajibisha wabunge wasiotimiza majukumu yao vema huku wanapewa fedha na serikaliwabunge wanatokana na vyma fulani fulani CUF, CDM na kadhalika, utaratibu uliowekwa na serikali kutekeleza wajibu wako kwa hiyo serikali inafanya jukumu ka kuwawezesha kutimiza wajibu wao na watawajibishwa na wananchiMh. Regia anasisitiza serikali lazima iwamonite kwa kuwa fedha hizo zinakaguliwa na CAGPM: anasisitiza kila chama kina jukumu kwa wabunge wake na si busara kuingiza serikali katika jukumu jingine na gharama za kuunda chombo kipya kuwasimamia wabunge
I was very disappointed ktk jibu la PM kuhusu swali hapo juu. He was arrogant and not objective at all. In fact we have stalled in our development efforts endeavour because of people like PM. Huyu jamaa ameshindwa kusimamia shughuli za serikali kikamilifu.Imagine wabunge wanalipwa 10 day allowances plus fuel kwenda kutembelea majimbo yao...na hakuna accountability hizo funds. Mbunge aende asiende ni juu yake na chama chake... What about kodi ya watz?
 
Hicho kipengele cha maswali kwa PM,ni vema kikaondolewa...hakuna cha maana anachojibu,ni upuuzi.PM mzima unatoa majibu ya hovyohovyo,yasiyo na mashiko,majibu mepesi,na bado tuna entertain hicho kipengele!
 
mimi naona akili yangu inaanza kupata ukichaa.
sielewi maana ya kustaafu ni nini?
6 alichukua fomu akatemwa kiaina leo wanasema ni mstaafu.
du bongo siasa raha sana.
hata rostam ni mbunge mstaafu.
 
Swali: Milioni 12 kwa mwezi zinalipwa kwa Nyumba ya Mh. Sitta huko Masaki akiwa Spika na hivi majuzi kasafiri kwenda India na Familia yake kwa hadhi ya Spika.

Lini ataondoka katika nyumba ya Spika na kutopewa hadhi ya daraja la kwanza ili kuipunguzia serikali mzingo

Spika anaingilia kati: Huyu ni Spika mstaafu kama alivyo Msekwa na wengine wowote, hili si swali

Kapotozewa

Mh. Regia

Mie sielewi wale wanaomuona Mh Sitta kama vile ni kiongozi safi.
Huyu kiongozi amekula na kuhujumu mali za umma kwa kushirikiana na wahindi ile mbaya.
Kwanza kwa kuendelea kuishi pale kunamdhihirisha jinsi asivyojali kupoteza hela za umma, nyumba anazo za kutosha, hela anayo hata ya kujulipia guest au 5 star hotel!
Lakini yote haya ni kama sifa za viongozi wetu wa CCM, wamekua wakiishi kama mabepari kwa muda mrefu sana, hawawezi hatakubadilika, swala ni sisi kuwatoa madarakani kwa kura zetu tu.
Hawako pale kumsaidia mtu yoyote zaidi za familia zao na marafiki zao!
 
Ushauri tu kama kuna mtu anaweza kupita wizara ya ardhi n kupata taarifa za title acheki nani mmiliki haswa wa hiyo nyumba anayopanga mh sitta, nazani mjadala utanogile zaiiidddddd!!!!!!
 
mimi naona akili yangu inaanza kupata ukichaa.
sielewi maana ya kustaafu ni nini?
6 alichukua fomu akatemwa kiaina leo wanasema ni mstaafu.
du bongo siasa raha sana.
hata rostam ni mbunge mstaafu.

Mkuu pole sana lakini tuvumilie hii ndio Tanzania nchi pekee kwa kila kitu hapa duniani.
 
Yaani kwa kweli nilivyo na hasira na hiki kizee sijui nitafanya nini ili nipoe!!!

PM anajibu utafikiri hana kichwa? Hivi utaanzaje kusema habari ya kuharisha wakati unajibu swali la maana?

Nchi yetu imekuwa ya wapumbav, imejaa wapumbav, na inaongozwa na wapumbav sijui kama tutatoka hapa tulipo!!!

Pinda hana busara hata chembe, hebu ajitahidi kushirikisha halmashauri ya kichwa chake!!
 
Kweli tunahitaji uongozi Mpya, yaani katika maswali yote sijaona pa kunitia faraja, majibu yanajibiwa kama vijembe, ee ukombozi njoo haraka. kudhihilisha hilo tuanze na Igunga.
 
hata sitta nae hana cha uzalendo,ile ishu ya kina mwakiembe alikosa pa kuegemea ndo maana aliruhusu,kama vipi naye asimame alizungumzie suala hili
 
Swali: Milioni 12 kwa mwezi zinalipwa kwa Nyumba ya Mh. Sitta huko Masaki akiwa Spika na hivi majuzi kasafiri kwenda India na Familia yake kwa hadhi ya Spika.

Lini ataondoka katika nyumba ya Spika na kutopewa hadhi ya daraja la kwanza ili kuipunguzia serikali mzingo

Spika anaingilia kati: Huyu ni Spika mstaafu kama alivyo Msekwa na wengine wowote, hili si swali

Kapotozewa

Mh. Regia

Huyu si alishindwa uchaguzi....sasa kila ashindwaye uchaguzi basi awe mstaafu
 
Back
Top Bottom