AMARIDONG
JF-Expert Member
- Jun 24, 2010
- 2,501
- 189
Naheshimu viongozi wangu na siipingi chadema ila kuomba na kukutana na raisi kikwete kulikuwa hakuna maana yoyote kwani hakuna kilichobadilika,mswada umepitishwa na bunge na kusainiwa na raisi kama ratiba ya magamba ilivyokuwa,nafikiri kwa hili la kuomba na kukutana na raisi tena mara mbili halikuwa la msingi.
Ni bora kukaa kimya kama nssr au kuleta jambo hili kwa wananchi moja kwa moja lakini kukutana na raisi na kumshauri ni sawa na kuchukua kesi ya ngedere na kumpelekea tumbili.
Na sasa nafikiri ilikuwa bora kukaa bungeni na kujadili mswada kuliko kutoka kwani mnakimbia kwa shangazi (bungeni) huku mnaomba kukutana na mjomba(Ikulu) sio sawa
Tubadilike hili lisijitokeze tena ni lazima tusome nyakati na misimamo ya magamba hasa wakati huu ambapo chama chetu kinakua kwa kasi
Jk na makinda ni pete na chanda
Ni bora kukaa kimya kama nssr au kuleta jambo hili kwa wananchi moja kwa moja lakini kukutana na raisi na kumshauri ni sawa na kuchukua kesi ya ngedere na kumpelekea tumbili.
Na sasa nafikiri ilikuwa bora kukaa bungeni na kujadili mswada kuliko kutoka kwani mnakimbia kwa shangazi (bungeni) huku mnaomba kukutana na mjomba(Ikulu) sio sawa
Tubadilike hili lisijitokeze tena ni lazima tusome nyakati na misimamo ya magamba hasa wakati huu ambapo chama chetu kinakua kwa kasi
Jk na makinda ni pete na chanda