Patrick Girigo
Member
- May 30, 2020
- 67
- 108
Naomba kuuliza maswali mawili kuhusu ILANI ya uchaguzi Mkuu ya CHADEMA 2020 kuhusu sera yao ya MAJIMBO au Dby D
(1) CHADEMA wanainadi sera yao ya Majimbo lakini kuna MIKOA/HALMASHAURI ambazo zina makusanyo yake yapo chini, wanashindwa hadi kuwalipa Madiwani wao, Je,serikali yake ya itawezaje kuweka mazinginra sawa ya PATO la Taifa kwa Nchi nzima ila upendeleo wowote kama inavyoelekezwa na Katiba ya Tanzania ibara ya 9(h-i); Mfano Mkoa wa Singida pato lake kwa Mwaka linaloochangia GDP ya Taifa haliwezi hata kuwalipa walimu na Madaktari/manesi hata kwa miezi miwili tofauti na Mikoa kama Dar,Arusha na Moshi zenye sekta kubwa za Kitalii;
(2) Nataka kujua nini msimamo wa CHADEMA kuhusu AJIRA serikalini na upatikanaji wa Viongozi kama Makatibu Wakuu,Wakurugenzi wa Wizara, wao watatumia Njia/model gani kuandaa na kuwapata Viongozi wa kuendesha serikali bila upendeleo wa Kisiasa au Kikabila?
(3) Napenda kujua Msimamo wa CHADEMA kuhusu Mapambano ya Rushwa serikalini-mbona hili sijalisikia hata mara1 au rushwa imeshai kabisa Tanzania?
Nitafurahi kupata majibu
(1) CHADEMA wanainadi sera yao ya Majimbo lakini kuna MIKOA/HALMASHAURI ambazo zina makusanyo yake yapo chini, wanashindwa hadi kuwalipa Madiwani wao, Je,serikali yake ya itawezaje kuweka mazinginra sawa ya PATO la Taifa kwa Nchi nzima ila upendeleo wowote kama inavyoelekezwa na Katiba ya Tanzania ibara ya 9(h-i); Mfano Mkoa wa Singida pato lake kwa Mwaka linaloochangia GDP ya Taifa haliwezi hata kuwalipa walimu na Madaktari/manesi hata kwa miezi miwili tofauti na Mikoa kama Dar,Arusha na Moshi zenye sekta kubwa za Kitalii;
(2) Nataka kujua nini msimamo wa CHADEMA kuhusu AJIRA serikalini na upatikanaji wa Viongozi kama Makatibu Wakuu,Wakurugenzi wa Wizara, wao watatumia Njia/model gani kuandaa na kuwapata Viongozi wa kuendesha serikali bila upendeleo wa Kisiasa au Kikabila?
(3) Napenda kujua Msimamo wa CHADEMA kuhusu Mapambano ya Rushwa serikalini-mbona hili sijalisikia hata mara1 au rushwa imeshai kabisa Tanzania?
Nitafurahi kupata majibu