bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,700
- 4,126
Naomba munisaidie kunielewesha kuhusu ujenzi wenu wa barabara.
1. Kwanini pembeni ya barabara kunakuwa na mifereji mikubwa, ambayo kwa namna moja ama nyingine inachangia kuwepo kwa ajali?
2.Kwanini barabara ya morogoro road,bagamoyo road ambazo mnajenga ni nyembamba sana halafu pale ktkt mnaacha sehemu kubwa ya kuweka udogo, kwanini msiache nafasi kubwa kuruhusu magari hata matatu yapite kwa wakati mmoja?
Ni hayo tu ninayotaka kupata ujuzi toka kwenu.
Ahsante.
1. Kwanini pembeni ya barabara kunakuwa na mifereji mikubwa, ambayo kwa namna moja ama nyingine inachangia kuwepo kwa ajali?
2.Kwanini barabara ya morogoro road,bagamoyo road ambazo mnajenga ni nyembamba sana halafu pale ktkt mnaacha sehemu kubwa ya kuweka udogo, kwanini msiache nafasi kubwa kuruhusu magari hata matatu yapite kwa wakati mmoja?
Ni hayo tu ninayotaka kupata ujuzi toka kwenu.
Ahsante.