Naomba munisaidie kunielewesha kuhusu ujenzi wenu wa barabara.
1. Kwanini pembeni ya barabara kunakuwa na mifereji mikubwa, ambayo kwa namna moja ama nyingine inachangia kuwepo kwa ajali?
2.Kwanini barabara ya morogoro road,bagamoyo road ambazo mnajenga ni nyembamba sana halafu pale ktkt mnaacha sehemu kubwa ya kuweka udogo, kwanini msiache nafasi kubwa kuruhusu magari hata matatu yapite kwa wakati mmoja?
Ni hayo tu ninayotaka kupata ujuzi toka kwenu.
Ahsante.
Muulize Mgufuli!Naomba munisaidie kunielewesha kuhusu ujenzi wenu wa barabara.
1. Kwanini pembeni ya barabara kunakuwa na mifereji mikubwa, ambayo kwa namna moja ama nyingine inachangia kuwepo kwa ajali?
2.Kwanini barabara ya morogoro road,bagamoyo road ambazo mnajenga ni nyembamba sana halafu pale ktkt mnaacha sehemu kubwa ya kuweka udogo, kwanini msiache nafasi kubwa kuruhusu magari hata matatu yapite kwa wakati mmoja?
Ni hayo tu ninayotaka kupata ujuzi toka kwenu.
Ahsante.
Nitakujibu swali lako la 2 kwa ufupi !
Ujenzi wa barabara Kama projects zingine zina stages kabla ya kufikia kitu icho ukisemacho!
Kuna mambo Kama fesibility study ,collection ya data Kama vile traffic counting na kadhalika. Hizo zote hufanywa ili kupata best design itakayokidhi hitaji ya wakati huo. Hayo yote hufanywa sambamba na budget iliyopangwa kwa project hiyo.
Kitu hicho unachokisema kinaitwa median, huwa ni part ya right of way, na yaweza tumika baadae ikiitajika kuongeza lane!, temporarily chaweza tumika kwa soft or hard landscarping ya barabara au catchoff drain area.