Maswali kumi kwa David Kafulila kuhusu IPTL

Maswali kumi kwa David Kafulila kuhusu IPTL

Mkuu mbona unapanick kana kwamba wewe ndo uliyeulizwa maswali? au nawewe ulilamba Eeh?
Sina muda wa kushindana na kichaa ccm wote ni mafisadi na wezi wakubwa ccm ni janga la taifa
View attachment 188126
tunataka pesa zetu ccm ni wezi tuu ukiona mtu anamtetea mwinzi na yeye ni mwizi tumeshachoka na huu upuuzi wa serikali ya ccm sekta zote ni rushwa na wizi kwa sababu ndo sera yenu ccm mjiandae 2015
 
Mkuu unafahamu wazi hawezi kujibu hapa hadharani majibu ambayo keshajibu kwa CAG na Hosea maana shughuli za kiuchunguzi zinaendelea kwa kutumia ushahidi aliotoa.

Ahaaa kumbee haya ngoja tusubiri hiyo riport sasa
 
If you don't know what's the meaning of great thinker you are supposed to be here in JF

Kweli ndio umeamua kumbeba kafulila kama alivyo mkuu, yaani hujapata jibu tu la jinsi kafulila anavyotumika na mafisadi wakubwa wa nchi hii wakina Rostam,Mengi na Mkono
Mengi kaleta bifu tena hadharani toka aumbuliwe kuhusu Vitaru, Rostam ni mshindani wakibiashara na mkono kupitia kampuni yake ya mkono advocate huyu hata kwenye hotuba yake waziri muhongo bungeni alimtaja ""Mkopeshaji yeyote ambaye siyo sehemu ya PPA hawezi kujigeuza na kudai ni sehemu ya mkataba huu. Mawakili (Mkono & Company Advocates) wetu wanaelewa hivyo lakini hawataki kusema kwa kuwa watapoteza au kuacha kulipwa na Serikali pamoja na TANESCO"".
mkuu ukifatilia kwa makini kama hujaamua kutoelewa utagundua tu kuwa huu nimchezo mchafu wa kikundi fulani kutaka kuchafua wengine kupitia bwana mdogo kafulila
 
  1. Hebu na wewe tuambie kwa nini mnamdaka Kafulila juu kwa juu wakati hii ishu ilikuwa inachunguzwa na PCCB na CAG ambazo ni taasisi za serikali? Ripoti za hawa jamaa ziko wapi (japo ni serikali hii hii na viongozi wake ndiyo wanaotuhumiwa kwa ufisadi huu) maana ingalau kwa ripoti ya Hosea na Utouh na timu zao (hata kama imechakachuliwa) tunaweza kupata pa kuanzia ili kujua mbivu na mbichi na kisha kumhukumu Kafulila? Au bado wanaendelea na uchunguzi? If so, mbona mnakuja kwa kasi hivi kuutetea huu ufisadi katika mitandao ya kijamii? Kuna nini hapa?..............Tumesikia hawa jamaa wameshatoa ripoti zao na kuna ushahidi wa kutosha kuwa kuna baadhi ya vigogo waaandamizi wa serikali hii ya JK (mawaziri) wamehusika katika deal hili la kifisadi, je ni kweli? Na Je, ni kweli pia eti Cabinet (Baraza la Mawaziri) wanakaa several times Ikulu kujadili hili ili kuona namna watakavyozuia na kuiokoa serikali hii isije ikaanguka kwa mara nyingine tena kutokana na scandal hii?
  2. Unazikumbuka scandals za EPA na Richmond namna zilivyoanza huku dhihaka kama hizi zinavyoendelea leo kwa walioziibua? Unaukumbuka mwisho wa scandal hizo? Kama umesahau, basi tukupe hiyo kumbukumbu japo ni mbaya kwenu CCM lakini ndiyo hali halisi na ndiyo nature ya serikali ya CCM ya wizi na ufisadi wa mali ya umma!!.......Mara zote walionekana kama anavyoonekana Kafulila leo, walishinda na ukweli ulidhihiri na mwisho wa siku serikali iliangukia pua!!

FionaMushi, kwa level hii ya propaganda mnayoifanyia serikali hii eti tu katika kujaribu kuikoa, bado hamjaweza kufikia kiwango cha kuwa fool watanzania hata waweze kunyamaza ktk hili.

Na nikuambie kitu ndugu yangu? Hakuna wakati mwingine mbaya kama huu ambapo serikali hii ya CCM imekabwa koo kila kona hata iweze kujinasua kwani ikigeuka huku inakutana na sokomoko la Katiba mpya, ikigeukia kule inakutana na kashfa ya ESCROW/IPTL Account vs TANESCO na zingine kibao zitakuja, wewe subiri tu tunapoelekea katika General Election ya 2015. Utabiri wa ujenzi wa mnara wa babel na kusambaratika kwa utawala huu ndiyoooooo huo kwa kasi sana unatimia sasa maana mtaongea kwa lugha ambayo hakuna atakayemwelewa mwenzake na mnara utaporomoka puuuuuh!!

Na haya yatawavuruga na kuwasambaratisha kuanzia ndani ya chama chenu hadi kuivuruga na kuisambaratisha Serikali yote. Wewe chunguza tu utalibaini hili mara moja kwani kuna kauli na matendo ya ajabuajabu sana yanafanywa na vongozi wa serikali hii hata inafikia watu wenye akili timamu wanashindwa kuelewa na kuamini iwapo hili limesemwa au limeagizwa na kiongozi wa serikali kweli au mlevi fulani ktk bar!!??

Washauri wakubwa zako, ripoti za uchunguzi wa sakata hili ziwekwe wazi ili public ijue kwani tutaelewa na kutambua mara moja kuwa, aaah, kumbe ni kweli fedha hizo hazikuwa za umma bali zilikuwa za akina Tibaijuka,(Rwegamurula?) au Sethi Singasinga na IPTL yao............Otherwise,hakuna propaganda itakayobadilisha ukweli huu ya kuwa fedha ni zetu na tumeibiwa tu na Kafulila na wengine wote walio kinyume na hili watasimama kama heroes!!

Tatizo kafulila ndoo liye tolea macho hii issue wakat kashakula zake
 
Kafulila alidandia gari kwa mbele moto utawaka sasa anajifanya anajua kumbe anaungua jua.
 
Sina muda wa kushindana na kichaa ccm wote ni mafisadi na wezi wakubwa

Kuna viuzi huko nje nikipita naviona vimeandikwa ccm,vingine chadema. Topic ni "Maswali kumi kwa David kafulila kuhusu iptl"
 
Kafulila mpigaji,Ccm wezi na wewe ni kibaraka wa wezi,Ipo siku hili taifa litalazimishwa liwe chini ya Rwanda kwa sababu ya huu wizi wa kiwango cha A+
 
Kuna juhudi kubwa zinazofanywa na mapanya na mafisi ndani ya Serikali hii dhalimu kumchafua Kafulila ili kumnyamazisha katika wizi huu mkubwa ambao Mawaziri na hata Wabunge wamepokea pesa nyingi sana za wizi wa pesa za walipa kodi. Mjue juhudi zenu kamwe hazitafanikiwa.

Mkuu mbona ata huyo unaye msafisha na yeye bado mchafu sana
Ili awe msafi arudishe mil 90 za rostmu na mkono plus mengi
Ndoo atakuwa msafii
 
Kuna viuzi huko nje nikipita naviona vimeandikwa ccm,vingine chadema. Topic ni "Maswali kumi kwa David kafulila kuhusu iptl"
Naomba tukae kwenye mada ambayo ni maswali kumi kwa kafulila,tuache uchadema na uccm
 
Kafulila mpigaji,Ccm wezi na wewe ni kibaraka wa wezi,Ipo siku hili taifa litalazimishwa liwe chini ya Rwanda kwa sababu ya huu wizi wa kiwango cha A+

Yan shidaa mnoo hawa mbulula wanatisha sana
 
If you don't know what's the meaning of great thinker you are supposed to be here in JF

Yes iam supposed to be here ndio maana am here ili niwe great thinker,is that a problem to you!
 
  1. Hebu na wewe tuambie kwa nini mnamdaka Kafulila juu kwa juu wakati hii ishu ilikuwa inachunguzwa na PCCB na CAG ambazo ni taasisi za serikali? Ripoti za hawa jamaa ziko wapi (japo ni serikali hii hii na viongozi wake ndiyo wanaotuhumiwa kwa ufisadi huu) maana ingalau kwa ripoti ya Hosea na Utouh na timu zao (hata kama imechakachuliwa) tunaweza kupata pa kuanzia ili kujua mbivu na mbichi na kisha kumhukumu Kafulila? Au bado wanaendelea na uchunguzi? If so, mbona mnakuja kwa kasi hivi kuutetea huu ufisadi katika mitandao ya kijamii? Kuna nini hapa?..............Tumesikia hawa jamaa wameshatoa ripoti zao na kuna ushahidi wa kutosha kuwa kuna baadhi ya vigogo waaandamizi wa serikali hii ya JK (mawaziri) wamehusika katika deal hili la kifisadi, je ni kweli? Na Je, ni kweli pia eti Cabinet (Baraza la Mawaziri) wanakaa several times Ikulu kujadili hili ili kuona namna watakavyozuia na kuiokoa serikali hii isije ikaanguka kwa mara nyingine tena kutokana na scandal hii?
  2. Unazikumbuka scandals za EPA na Richmond namna zilivyoanza huku dhihaka kama hizi zinavyoendelea leo kwa walioziibua? Unaukumbuka mwisho wa scandal hizo? Kama umesahau, basi tukupe hiyo kumbukumbu japo ni mbaya kwenu CCM lakini ndiyo hali halisi na ndiyo nature ya serikali ya CCM ya wizi na ufisadi wa mali ya umma!!.......Mara zote walionekana kama anavyoonekana Kafulila leo, walishinda na ukweli ulidhihiri na mwisho wa siku serikali iliangukia pua!!

FionaMushi, kwa level hii ya propaganda mnayoifanyia serikali hii eti tu katika kujaribu kuikoa, bado hamjaweza kufikia kiwango cha kuwa fool watanzania hata waweze kunyamaza ktk hili.

Na nikuambie kitu ndugu yangu? Hakuna wakati mwingine mbaya kama huu ambapo serikali hii ya CCM imekabwa koo kila kona hata iweze kujinasua kwani ikigeuka huku inakutana na sokomoko la Katiba mpya, ikigeukia kule inakutana na kashfa ya ESCROW/IPTL Account vs TANESCO na zingine kibao zitakuja, wewe subiri tu tunapoelekea katika General Election ya 2015. Utabiri wa ujenzi wa mnara wa babel na kusambaratika kwa utawala huu ndiyoooooo huo kwa kasi sana unatimia sasa maana mtaongea kwa lugha ambayo hakuna atakayemwelewa mwenzake na mnara utaporomoka puuuuuh!!

Na haya yatawavuruga na kuwasambaratisha kuanzia ndani ya chama chenu hadi kuivuruga na kuisambaratisha Serikali yote. Wewe chunguza tu utalibaini hili mara moja kwani kuna kauli na matendo ya ajabuajabu sana yanafanywa na vongozi wa serikali hii hata inafikia watu wenye akili timamu wanashindwa kuelewa na kuamini iwapo hili limesemwa au limeagizwa na kiongozi wa serikali kweli au mlevi fulani ktk bar!!??

Washauri wakubwa zako, ripoti za uchunguzi wa sakata hili ziwekwe wazi ili public ijue kwani tutaelewa na kutambua mara moja kuwa, aaah, kumbe ni kweli fedha hizo hazikuwa za umma bali zilikuwa za akina Tibaijuka,(Rwegamurula?) au Sethi Singasinga na IPTL yao............Otherwise,hakuna propaganda itakayobadilisha ukweli huu ya kuwa fedha ni zetu na tumeibiwa tu na Kafulila na wengine wote walio kinyume na hili watasimama kama heroes!!

Tunamjadili kafu sababu kawageuka wananchi na kushkamana na wapigaji,huyu kafu ni hazina yetu kwanini atusaliti?
 
  1. Hebu na wewe tuambie kwa nini mnamdaka Kafulila juu kwa juu wakati hii ishu ilikuwa inachunguzwa na PCCB na CAG ambazo ni taasisi za serikali? Ripoti za hawa jamaa ziko wapi (japo ni serikali hii hii na viongozi wake ndiyo wanaotuhumiwa kwa ufisadi huu) maana ingalau kwa ripoti ya Hosea na Utouh na timu zao (hata kama imechakachuliwa) tunaweza kupata pa kuanzia ili kujua mbivu na mbichi na kisha kumhukumu Kafulila? Au bado wanaendelea na uchunguzi? If so, mbona mnakuja kwa kasi hivi kuutetea huu ufisadi katika mitandao ya kijamii? Kuna nini hapa?..............Tumesikia hawa jamaa wameshatoa ripoti zao na kuna ushahidi wa kutosha kuwa kuna baadhi ya vigogo waaandamizi wa serikali hii ya JK (mawaziri) wamehusika katika deal hili la kifisadi, je ni kweli? Na Je, ni kweli pia eti Cabinet (Baraza la Mawaziri) wanakaa several times Ikulu kujadili hili ili kuona namna watakavyozuia na kuiokoa serikali hii isije ikaanguka kwa mara nyingine tena kutokana na scandal hii?
  2. Unazikumbuka scandals za EPA na Richmond namna zilivyoanza huku dhihaka kama hizi zinavyoendelea leo kwa walioziibua? Unaukumbuka mwisho wa scandal hizo? Kama umesahau, basi tukupe hiyo kumbukumbu japo ni mbaya kwenu CCM lakini ndiyo hali halisi na ndiyo nature ya serikali ya CCM ya wizi na ufisadi wa mali ya umma!!.......Mara zote walionekana kama anavyoonekana Kafulila leo, walishinda na ukweli ulidhihiri na mwisho wa siku serikali iliangukia pua!!

FionaMushi, kwa level hii ya propaganda mnayoifanyia serikali hii eti tu katika kujaribu kuikoa, bado hamjaweza kufikia kiwango cha kuwa fool watanzania hata waweze kunyamaza ktk hili.

Na nikuambie kitu ndugu yangu? Hakuna wakati mwingine mbaya kama huu ambapo serikali hii ya CCM imekabwa koo kila kona hata iweze kujinasua kwani ikigeuka huku inakutana na sokomoko la Katiba mpya, ikigeukia kule inakutana na kashfa ya ESCROW/IPTL Account vs TANESCO na zingine kibao zitakuja, wewe subiri tu tunapoelekea katika General Election ya 2015. Utabiri wa ujenzi wa mnara wa babel na kusambaratika kwa utawala huu ndiyoooooo huo kwa kasi sana unatimia sasa maana mtaongea kwa lugha ambayo hakuna atakayemwelewa mwenzake na mnara utaporomoka puuuuuh!!

Na haya yatawavuruga na kuwasambaratisha kuanzia ndani ya chama chenu hadi kuivuruga na kuisambaratisha Serikali yote. Wewe chunguza tu utalibaini hili mara moja kwani kuna kauli na matendo ya ajabuajabu sana yanafanywa na vongozi wa serikali hii hata inafikia watu wenye akili timamu wanashindwa kuelewa na kuamini iwapo hili limesemwa au limeagizwa na kiongozi wa serikali kweli au mlevi fulani ktk bar!!??

Washauri wakubwa zako, ripoti za uchunguzi wa sakata hili ziwekwe wazi ili public ijue kwani tutaelewa na kutambua mara moja kuwa, aaah, kumbe ni kweli fedha hizo hazikuwa za umma bali zilikuwa za akina Tibaijuka,(Rwegamurula?) au Sethi Singasinga na IPTL yao............Otherwise,hakuna propaganda itakayobadilisha ukweli huu ya kuwa fedha ni zetu na tumeibiwa tu na Kafulila na wengine wote walio kinyume na hili watasimama kama heroes!!

Kuhusu ccm kuanguka aaah, inawezekana kabisa. Kuhusu ripoti za CAG na PCCB kuwa zipo tayari siwezi kuzungumzia, ila nilimsikia kafulila akiropoka kama kawaida yake, nafikiri nikatika kujihami tu sababu yeye sianajua kwamba alichokuwa anakiongea ni uzushi tu. Kwahyo kwa akiri za haraka anatafuta kusema si mnaona wamechakachua ripoti. Ila mkuu kweli hatakidogo huoni hapa tunataka kubebeshwa dhambi ya dhuruma watanzania kweli iptl tumetumia umeme wao harafu leo tukatae kuwalipa
 
Inatia shaka sana kuona uchafu wake umeanza kuanikwa na wapokeaji wa pesa za wizi wa bilioni 200 baada ya yeye kuanika hadharani wizi huo! Walikuwa wapi kabla ya hapo?

Mkuu mbona ata huyo unaye msafisha na yeye bado mchafu sana
Ili awe msafi arudishe mil 90 za rostmu na mkono plus mengi
Ndoo atakuwa msafii
 
Kuna juhudi kubwa zinazofanywa na mapanya na mafisi ndani ya Serikali hii dhalimu kumchafua Kafulila ili kumnyamazisha katika wizi huu mkubwa ambao Mawaziri na hata Wabunge wamepokea pesa nyingi sana za wizi wa pesa za walipa kodi. Mjue juhudi zenu kamwe hazitafanikiwa.

Great thinker #BAK karibu jamvini,kwanini useme serikali inamchafua kafulila ili kumnyamazisha na si kafulila anatumia pesa za mafisadi kuichafua IPTL
 
Hili swala liko kwenye uchunguzi na vyombo vinavyohusika kisheria kuchunguza tuhuma hizo. Sasa wewe kuja JF na maswali yako ili Kafulila aje kukujibu hapa ni uchizi wa wazi kabisa maana unajua hata kama majibu anayo hawezi kuja hapa na kuyatoa wakati huu. Ulichofanya ni kupandikiza fikira fulani kwa wana JF waelewe tofauti kama utakavyo wewe kwa manufaa yako au aliyekutuma.
Haraka ya nini wakati ripoti ya CAG na Hosea hazijatoka? Afterall kama mahali pakiwa na tuhuma za wizi au ufisadi majibu yake sio mjadala bali ni uchunguzi wa kisheria. Mjadala unakuwepo sio kwa kubaini wizi huo bali kupiga porojo za kuupotezea tuu.
Tusubiri ripoti ndio tuijadili. Na hizo pesa unazosema alipewa Kafulila na mafisadi kama una ushahidi upeleke kwa Hosea ili kumsaidia katika uchunguzi wake vinginevyo ni majungu yenye malengo maalumu na yasiyo na msaada kwa taifa.

Mkuu nadhani huelewi maana ya jukwaa hili ndo maana unakuja na hadithi nyingi za kupoteza matumaini. Kwahiyo wewe unataka mtu akiwa anajua jambo basi aende dar kuwafuata akina Hosea na cag? Acha gongo wakati wa joto wewe
 
Back
Top Bottom