shadow recruit
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 1,844
- 384
- Thread starter
- #21
teh teh teh teh!!! Wasinge kagua kafulila angetunga wimbo @ mfia uzi
Halafu hili la Tibaijuka iptl wenyewe wameshalitolea ufafanuzi labda kama umeamua kutoelewa maelezo yao mazuri. Ukikosa angle ya kutete upande wako usilete ramli, kwahyo kwakuwa unampinga nayeye awe namawazo kama yako unatumika.
Hii ni shida kwetu vijana kama mtu asipokua upande wako bs msaliti na anatumika,tafadhali jamani tuchangie mjadala bila kejeli