Kwa uelewa wangu Mdogo nilio nao Mimi nafikilia kwamba dunia ni duara. Lakini sio duara kama mpira wa miguu vile wengne wanavo sema au kama chapati, ni duara ambalo halijakamilika na ndo mana kuna milima, na pia kuna mabonde makubwa mito bahari nk
Sent using
Jamii Forums mobile app
mkuu tangu nifanye utafiti mdogo na kugundua taasisi zote zilizotufanyia utafiti na kutuaminisha kuwa dunia ni duara(kwa uduara wowote ule) nimetokea kutoiamini tena sayansi kama baba wa ukweli katika kila kitu any more. Kuna wanasayansi mbadala wa Brazil kwa mwaka 2019 wamekamilisha utafiti wao na kuthibisha kwamba dunia ni flat , haizunguki kamwe, na jua ndio linalozunguka kama ambavyo macho na akili vinashuhudia. Sasa ona;
Bendera ya UN ina logo ya Dunia flat,
Bendera ya International Maritime Organization (IMO) ina logo ya flat Earth
Bendera ya World Meteorological Organization (WMO) ina logo ya Flat Earth
Bendera ya International Civil Aviation Organization (ICAO) ina logo ya Flat Earth
bendera ya World Health Organizatio (WHO} ina logo ya Flat Earth
Bendera ya United States Geological Survey (USGS) ina logo ya Flat Earth n.k.
Hii ina maana gani, safari za meli ndege zimeplotiwa kwa kutumia flat earth map sio globe map.
mpaka hapa mdanganyaji anajua na anasababu zake za kwanini anatudanganya. Binafsi sasa najua
dunia ni tambarare ipo static pasi na shaka
jua linatembea na kamwe halipo static na sio centre of solar system bali ni taa na mwanga wa kuimulikia dunia tu
jua sio nyota na kamwe nyota sio jua na nyota wala jua sio madude makuuubwa kama nasa wanavyotufanya watoto.
gravitation force ni futuhi tu n.k
Nasa hawajawahi kukanyaga mwezini na kamwe hawatawahi.
bigbabang theory ni hadithi za kwanyamazishia watoto vilizi ili wanyamaze na kucheka.