Sasa akili ndio ina nguvu kvp?hebu fafanua maana usijishughlishe sana na matokeo ya kile unachokidhania(power) bali tuchunguze na uhalisia na hicho unachodai ndio chanzo cha power(akili).Akili
Sasa akili ndio ina nguvu kvp?hebu fafanua maana usijishughlishe sana na matokeo ya kile unachokidhania(power) bali tuchunguze na uhalisia na hicho unachodai ndio chanzo cha power(akili).
Nasema hivyo kwa sababu kwenye kuomba Mungu nako kuna matokeo,kwenye uchawi pia kuna matokeo na ndio maana hadi sasa watu wanashughlika na hayo mambo kama kusingekuwa na matokeo wasingeendelea nayo.
Sasa ukituambia akili ni chanzo cha power kwamba unaweza hata kumcontrol binaadamu mwenzio mwenye akili pia,ni vyema ungefafanua hili jambo kiasi cha mtu kuelewa unachokizungumzia.
Pole sanaMungu hayupo , God is yourself depending on how to use your power within your mind only (watu watakuona mchawi but not)
Yeah...nilijua utakuja kusema hivi,ni wazi kwenye hivyo vitabu hakuna jibu la kile nikitakacho kukijua bali kuna maelezo tu ya jinsi ya kupata na kutumia hiyo power.Kwa msaada zaidi katafute kutabu cha miracle of your mind by dr murphy au secret by rhonda byne me nimemaliza hizo habari
Yeah...nilijua utakuja kusema hivi,ni wazi kwenye hivyo vitabu hakuna jibu la kile nikitakacho kukijua bali kuna maelezo tu ya jinsi ya kupata na kutumia hiyo power.
Mungu amesema siku ya kufufuliwa mtayajua msiyoyajua1.Mungu kama ulimwumba kila mtu kwa mfano wako, je wewe ni mwamaume au mwanamke?
2.Mtu akiugua, aende hospitalini kupewa tiba au akafanyiwe maombi? Na akifanya vyote, kipi kitasaidia zaidi?
3.Mungu wakati unamwumba mwanaume uliweka govi, hukujua ni najisi? mbona unasema likwatwe? huko siyo kuediti uumbaji wako?
4.Watakaoingia mbinguni, watafurahi vipi kama ndugu zao wawapendao watakuwa jehanamu?
5.Baada ya gharika ya Nuhu, maji ya mafuriko yalielekea wapi??? Kwa sababu kila mahali palijaa maji.
6.Kwanini ulichelewa kumwumba mwanamke ilihali ulimuumba mwanaume na uhitaji wa mwanamke? Nadhani hapo ndo chanzo cha kujichua.
7.Mungu kwanini uliumba bangi? ni ya kazi gani? Mbona watu wako wanaipinga sana?
8.Mungu kama wewe ni mpangaji wa maisha yetu, kwanini tukusumbue kwa sala?
9.Mbona watu wema wanapatwa na mabaya? Si uliahidi mema ya nchi kwa watenda mema?
10.Kama watu wote ni uzao wa Adam na Eva, mbona tunatofautiana sana...nini chanzo cha kuwepo kwa watu weupe na weusi?
11.Mungu mbona kwenye maandiko yako umechochea sana utumwa(slavery)? kwani tukiishi kwa usawa haikupendezi?
12.Mungu una urafiki na shetani? mbona mnakutana mara kwa mara na kupiga stori( Ayubu 1:6-12)
14.Kwanini ulimtese Ayubu kwa lengo la kuridhisha matakwa shetani?
15.Mungu mbona ulimpa Musa amri ya usiue lakini ukampa maagizo ya kuua...Mungu hadi leo pale middle east wanauana.
16.Mungu kwa kuwa ulisema tupumzike siku ya 7, mbona watu wanatembea umbali mrefu kutafuata majumba ya ibada na wengine wanatumia hiyo siku ya 7 kupata pesa kwa njia ya sadaka? kwanini tusibaki nyumbani tupumzike?
17.Baada ya Kaini kumua Abeli ulimuuliza Kaini ndugu yako yupo wapi, hivi ni kweli hukujua alipokua Abeli?
18.Mungu kama unalounganisha hakuna awezae kulitenganisha, mbona ndoa zinavunjika?
19.Mungu hivi Suleiman ndiye aliyekuwa na hekima kuliko wote? mbona alifanya mambo kuntu sana? Wanawake 1000 siyo mchezo...au polygamism ndio hekima yenyewe?
20.Mungu kwanini ulimpa Hitler roho mabaya kiasi kile? yaani alichokifanya humu duniani we acha tu.
Naamini kuna watumishi wa Mungu huku jf, kwahiyo ningepende wanisaidie majibu ya haya maswali...nimeuliza siyo ayajibu Mungu bali watu wenye uelewa na haya mambo...Kama mtu huna jibu kuwa mvumilivu maana wapo wenye ufahamu wa kutosha na siyo kulaani, kuhukumu na kuniona kana kwamba nimepotea...Muhimu zaidi jibu la uongo halitakiwi...pia kama jibu lina utata nitauliza.Karibuni kwa majadiliano yenye nia ya kueleweshana
Nimekwambia duniani kuna elimu nyingi sana na hatuwezi kuzimaliza,nimekuukiza swali wewe uliyejifunza hiyo elimu ila hauna jibu matokeo yake unataka na mie nisome hivyo vitabu.Katika vitabu kuna mengi ya kujifunza wee soma tu
N.B practically is better than theoritically ukitaka kuelewa hizi habari vizuri fanya real practical sio kukaa na theory kichwani halafu utanipa jibu ukishwindwa kufanya hivyo hutojifunza lolote kuhusu habari hizi
Nimekwambia duniani kuna elimu nyingi sana na hatuwezi kuzimaliza,nimekuukiza swali wewe uliyejifunza hiyo elimu ila hauna jibu matokeo yake unataka na mie nisome hivyo vitabu.
Nisikuchoshe mkuu tuishie hapa.
Halafu sijataka kujua mambo yote,ndio maana nikakwambia tuishie tu hapa mkuu maana pengine nimeuliza kitu ambacho jibu lake lipo kwenye level ambazo haujafikia.Huwezi kujua mambo yote humu yaan iwe kirahisi kama unavyotaka wewe habari hizi sio rahisi kama unavyofikiria
Mtafute ManchoG ni mzuri ktk elimu ya spritual world atakuelezea mengi kama unataka kuelewa ulimwengu wa spritual
Du..kumbe na mimi naonekana najua kitu.! Ila [emoji120][emoji120] MkuuHuwezi kujua mambo yote humu yaan iwe kirahisi kama unavyotaka wewe habari hizi sio rahisi kama unavyofikiria
Mtafute ManchoG ni mzuri ktk elimu ya spritual world atakuelezea mengi kama unataka kuelewa ulimwengu wa spritual
Du..kumbe na mimi naonekana najua kitu.! Ila [emoji120][emoji120] Mkuu
Japo joho ulilonivika ni over size [emoji1][emoji1][emoji1]
Halafu sijataka kujua mambo yote,ndio maana nikakwambia tuishie tu hapa mkuu maana pengine nimeuliza kitu ambacho jibu lake lipo kwenye level ambazo haujafikia.
Sijataka kujifunza hiyo elimu bali nimeuliza tu swali kuhusu hiyo elimu, tatizo wengi wenu mmejikita sana kwenye matokeo ya hiyo power tu ila hamjuulizi zaidi ya hapo.Kama mwanafunzi anafundishwa darasani haelewi anatafutiwa mwalimu wa tuition ili apate kuelewa vzr au ww ktk maisha yako ya kusoma hujawahi soma tuition?
Vimaswali vidogo hivi unapaswa kuniuliza Mimi hii sio size ya Mungu inamana hujui yasiyo wezekana kwa wanadamu kwa Mungu yanawezekana?1.Mungu kama ulimwumba kila mtu kwa mfano wako, je wewe ni mwamaume au mwanamke?
2.Mtu akiugua, aende hospitalini kupewa tiba au akafanyiwe maombi? Na akifanya vyote, kipi kitasaidia zaidi?
3.Mungu wakati unamwumba mwanaume uliweka govi, hukujua ni najisi? mbona unasema likwatwe? huko siyo kuediti uumbaji wako?
4.Watakaoingia mbinguni, watafurahi vipi kama ndugu zao wawapendao watakuwa jehanamu?
5.Baada ya gharika ya Nuhu, maji ya mafuriko yalielekea wapi??? Kwa sababu kila mahali palijaa maji.
6.Kwanini ulichelewa kumwumba mwanamke ilihali ulimuumba mwanaume na uhitaji wa mwanamke? Nadhani hapo ndo chanzo cha kujichua.
7.Mungu kwanini uliumba bangi? ni ya kazi gani? Mbona watu wako wanaipinga sana?
8.Mungu kama wewe ni mpangaji wa maisha yetu, kwanini tukusumbue kwa sala?
9.Mbona watu wema wanapatwa na mabaya? Si uliahidi mema ya nchi kwa watenda mema?
10.Kama watu wote ni uzao wa Adam na Eva, mbona tunatofautiana sana...nini chanzo cha kuwepo kwa watu weupe na weusi?
11.Mungu mbona kwenye maandiko yako umechochea sana utumwa(slavery)? kwani tukiishi kwa usawa haikupendezi?
12.Mungu una urafiki na shetani? mbona mnakutana mara kwa mara na kupiga stori( Ayubu 1:6-12)
14.Kwanini ulimtese Ayubu kwa lengo la kuridhisha matakwa shetani?
15.Mungu mbona ulimpa Musa amri ya usiue lakini ukampa maagizo ya kuua...Mungu hadi leo pale middle east wanauana.
16.Mungu kwa kuwa ulisema tupumzike siku ya 7, mbona watu wanatembea umbali mrefu kutafuata majumba ya ibada na wengine wanatumia hiyo siku ya 7 kupata pesa kwa njia ya sadaka? kwanini tusibaki nyumbani tupumzike?
17.Baada ya Kaini kumua Abeli ulimuuliza Kaini ndugu yako yupo wapi, hivi ni kweli hukujua alipokua Abeli?
18.Mungu kama unalounganisha hakuna awezae kulitenganisha, mbona ndoa zinavunjika?
19.Mungu hivi Suleiman ndiye aliyekuwa na hekima kuliko wote? mbona alifanya mambo kuntu sana? Wanawake 1000 siyo mchezo...au polygamism ndio hekima yenyewe?
20.Mungu kwanini ulimpa Hitler roho mabaya kiasi kile? yaani alichokifanya humu duniani we acha tu.
Naamini kuna watumishi wa Mungu huku jf, kwahiyo ningepende wanisaidie majibu ya haya maswali...nimeuliza siyo ayajibu Mungu bali watu wenye uelewa na haya mambo...Kama mtu huna jibu kuwa mvumilivu maana wapo wenye ufahamu wa kutosha na siyo kulaani, kuhukumu na kuniona kana kwamba nimepotea...Muhimu zaidi jibu la uongo halitakiwi...pia kama jibu lina utata nitauliza.Karibuni kwa majadiliano yenye nia ya kueleweshana
Sijataka kujifunza hiyo elimu bali nimeuliza tu swali kuhusu hiyo elimu, tatizo wengi wenu mmejikita sana kwenye matokeo ya hiyo power tu ila hamjuulizi zaidi ya hapo.