Maswali 10 kwa Vodacom Tanzania!

Maswali 10 kwa Vodacom Tanzania!

Mapigo1

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2013
Posts
256
Reaction score
90
MJUMBE HAUWAWI! NAFIKISHA TU MESEJINILIYOIKUTA KWENYE BLOG MOJA:Maswali 10 kwa Vodacom Tanzania :Leo si siku ya 12 tangu promotion yashinda mamilioni ya jaymillionsilipoanzishwa na Vodacom Tanzania lakiniimekuwa ikilalamikiwa na watu wengikwenye mitandao ya kijamii na na mitaanikuwa "vigezo na masharti kuzingatia"inatumika kuwahadaa wananchi. Haya nimaswali tungependa Vodacom watujibu

1. Mimi naweza leta comments 150 zafacebook na twitter zilizokuwa postedkuanzia tarehe 20-25 zikilalamikiasintofahamu ya jaymillions, je Vodacomwanaweza kuleta comments 10 tuzinazosifia?

2. Kwenye radio matangazo yenuyanasema hakuna kushiriki lakiniusipotuma msg ukakatwa shilingi 300 basihuna nafasi ya kushinda, je 300 ni ya ninikama si bet ya kamari husika?

3. Je kuna tangazo lolote la redio, TV auhata bango (billboard) linalosemamwananchi atakatwa shilingi 300 kwa kilamsg atakayotuma kuuliza kama kashinda?

4. Tangu shindano lianze, (ambalomlisema mtatoa milioni 100 kila siku,milioni 10 na milioni 1) leo ni siku ya 12ambayo kwa ahadi yenu ilibidi muwemmetoa bilioni moja milioni 400 lakinimpaka leo tarehe 26 mmetoa milioni 16tu, je ni hizi bilioni kadhaa anapewa nani?

5. Naskia vodacom ina wateja milioni 10,wateja laki moja tu ambao ni asilimia 1 tuya wanachama wakituma msg ni shilingi300'000'000 kwa siku sawa na shilingi3'600'000'000 na vodacom wametoamilioni 16 tu kurudisha kwenye jamiimpaka sasa, hamuoni kua mnaondoashilingi kwenye mzunguko na kuathiriuchumi?

6. Probability ya mshindi kutokea kwenyewatu laki moja na sio kwenye watu milioni9 na laki 9 ni sawa na kusema kila sikukuna nafasi moja ya pesa kuchukuliwa navodacom wana nafasi 99 za kubaki nahela, je ipo ipo siku itatokea mtu atashidamilioni 100?

7. Usiri wa kuwa mshindi atatajwa baadaya yeye kuwa katuma msg hamuoni kamainaweka mwanya wa wanaochezeshapromotion kupanga matokeo nakujifaidisha wao wenyewe?

8. Je si wakati muafaka kwa Vodacomkutangazia umma kuwa promotion yajaymillions ni kamari ambayo mshindiatachaguliwa miongoni mwa walioshiriki tukwa kutuma msg ili kuwapa wanashirikinafasi sawa ya kushinda?

9. Ni sahihi kusema jana Vodacomwalikata internet kwa masaa matanowakati mjadala wa kuhoji kizungumkuticha jaymillions umeshika kasi kwenyefacebook, twitter na jamii forums?

Naamini wahusika wa Vodacom maswalihaya yatawafikia, wanaweza wasijibu nahawatojibu ila kwa wanachokiona sasakwenye mitandao ya kijamii waelewe kuwawatanzania wamebadilika,hawapelekeshwi tena.
 
maswali mazuri sanah mkuu hapo juu, mimi ninalo moja tu linalohusu mitandao yote ya tanzania kama ifuatavyo!!!

Ni kwanini hakuna uyano wa dakika za maongezi, sm na MB za internet kati ya vifurushi vya masaa 24 na vile vya wiki au mwezi? Mfano unakuta kifurushi cha cku cha shilngi mia tano kinakupatia dakika 15 mitandao yote sms 300 na mb 125 lakini kifurushi cha wiki ambacho gharama yake ni mara saba ya kile cha cku moja (500*7=3500/-) unapata dakika, sms na mb chini ya mara saba ya zile ambazo ungepewa kwa cku (yaan dkka 15*7, sms 300*7 na mb 125*7) badala yake unakuta dakika 70, sms 500 na mb 200

kwakweli hii haiingii akilini na hata logic za kiuchumi hazikubaliani kabisa, yaan mtu amekulipa wiki nzima kabla ya kutumia bado unampa kidogo wakati yule anayekulipa kidogokidgo kila cku ndo unampa zaidi!!
navyofahamu mimi alokulipa wiki nzima kabla ya kutumia huyo anakua amechangia kwenye mtaji wako kwan waweza kuzitumia pesa zake katika kuendesha biashara yako wakati yeye akiwa bado hajaanza kutumia huduma yako!!

ni hilo tu toka kwangu kweli hua napenda kujiunga na vifurushi vya mwezi lakini naona kama naumizwa bora kupata usumbufu wa kujiunga kila cku
 
kwanini huduma zenu za mpesa na luku ni mbovu sana mtu ananunua umeme haupi kwa wakati na km kuna tatizo hamrudish muamala kwa wakati ili mteja achkue hatua nyingne mjirekebishe sio ninyi tu wenye huduma.mrudishe miamala yetu mapema
 
huu ni ujambazi na ni ulaghai mkubwa kuwaibia wananchi kwa kuwahadaa ,hivi inakuwaje vyombo vya dola vikajitia upofu katika jambo hili linalotangazwa hadharani mchana kweupe.,kuna majibu mawili aidha viongozi wanaopaswa kuwalinda wananchi na ulaghai na hadaa kutoka katika makampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi hawana uzalendo na hawana uchungu kuona wananchi wakiibiwa..Ama huenda wana hisa katika makampuni hayo ...au wana mgawo wao ,...Iweje malalamiko mengi yanalalamikiwa makampuni haya hasa hasa vodacom ..kiburi wanakipatia wapi...? Hawajali wala kuogopa..... Halafu January makamba Naibu waziri wa mawasiliano anataka URAIS wa nchi wakati anashindwa kuwalinda wananchi.,Inatia uchungu kila sehemu ni unyang'anyi ,wanyonge na masikini wanazidi kudhulumiwa hata haki yao ya kulindwa wasinyang'anywe kidogo wanachokimiliki kwa njia ya ulaghai na hadaa inauma na inatia uchungu sana jamani..
 
Je, kuna watu wanamfahamu kibinafsi huyo Jay wa mamilioni? ni millionea kweli??????
 
mamlaka husika imelala au wanashirikiana, mnategemea nini!
mambo kama haya susieni,acheni tamaa ya kupata vitu chapuchapu!!
 
MJUMBE HAUWAWI! NAFIKISHA TU MESEJINILIYOIKUTA KWENYE BLOG MOJA:Maswali 10 kwa Vodacom Tanzania :Leo si siku ya 12 tangu promotion yashinda mamilioni ya jaymillionsilipoanzishwa na Vodacom Tanzania lakiniimekuwa ikilalamikiwa na watu wengikwenye mitandao ya kijamii na na mitaanikuwa "vigezo na masharti kuzingatia"inatumika kuwahadaa wananchi. Haya nimaswali tungependa Vodacom watujibu

1. Mimi naweza leta comments 150 zafacebook na twitter zilizokuwa postedkuanzia tarehe 20-25 zikilalamikiasintofahamu ya jaymillions, je Vodacomwanaweza kuleta comments 10 tuzinazosifia?

2. Kwenye radio matangazo yenuyanasema hakuna kushiriki lakiniusipotuma msg ukakatwa shilingi 300 basihuna nafasi ya kushinda, je 300 ni ya ninikama si bet ya kamari husika?

3. Je kuna tangazo lolote la redio, TV auhata bango (billboard) linalosemamwananchi atakatwa shilingi 300 kwa kilamsg atakayotuma kuuliza kama kashinda?

4. Tangu shindano lianze, (ambalomlisema mtatoa milioni 100 kila siku,milioni 10 na milioni 1) leo ni siku ya 12ambayo kwa ahadi yenu ilibidi muwemmetoa bilioni moja milioni 400 lakinimpaka leo tarehe 26 mmetoa milioni 16tu, je ni hizi bilioni kadhaa anapewa nani?

5. Naskia vodacom ina wateja milioni 10,wateja laki moja tu ambao ni asilimia 1 tuya wanachama wakituma msg ni shilingi300'000'000 kwa siku sawa na shilingi3'600'000'000 na vodacom wametoamilioni 16 tu kurudisha kwenye jamiimpaka sasa, hamuoni kua mnaondoashilingi kwenye mzunguko na kuathiriuchumi?

6. Probability ya mshindi kutokea kwenyewatu laki moja na sio kwenye watu milioni9 na laki 9 ni sawa na kusema kila sikukuna nafasi moja ya pesa kuchukuliwa navodacom wana nafasi 99 za kubaki nahela, je ipo ipo siku itatokea mtu atashidamilioni 100?

7. Usiri wa kuwa mshindi atatajwa baadaya yeye kuwa katuma msg hamuoni kamainaweka mwanya wa wanaochezeshapromotion kupanga matokeo nakujifaidisha wao wenyewe?

8. Je si wakati muafaka kwa Vodacomkutangazia umma kuwa promotion yajaymillions ni kamari ambayo mshindiatachaguliwa miongoni mwa walioshiriki tukwa kutuma msg ili kuwapa wanashirikinafasi sawa ya kushinda?

9. Ni sahihi kusema jana Vodacomwalikata internet kwa masaa matanowakati mjadala wa kuhoji kizungumkuticha jaymillions umeshika kasi kwenyefacebook, twitter na jamii forums?

Naamini wahusika wa Vodacom maswalihaya yatawafikia, wanaweza wasijibu nahawatojibu ila kwa wanachokiona sasakwenye mitandao ya kijamii waelewe kuwawatanzania wamebadilika,hawapelekeshwi tena.
Kwa bahati mbaya ni kwamba tumekuwa tunatoa malalamiko au kejeli bila kuchunguza, ni kweli kwamba mapungufu yapo lakini sio kwa kiwango hicho.

Mfano: Ukiangalia website yao wameweka bei, na hata ukiwauliza kwenye mitandao ya jamii wanakupa bei husika. Pia mshindi anatakiwa kutuma ujumbe mmoja tu kucheki kama ameshinda. Promosheni ni bahati nasibu na ndio maana kunakuwa na mtu wa gaming board.
 
Kwa bahati mbaya ni kwamba tumekuwa tunatoa malalamiko au kejeli bila kuchunguza, ni kweli kwamba mapungufu yapo lakini sio kwa kiwango hicho.

Mfano: Ukiangalia website yao wameweka bei, na hata ukiwauliza kwenye mitandao ya jamii wanakupa bei husika. Pia mshindi anatakiwa kutuma ujumbe mmoja tu kucheki kama ameshinda. Promosheni ni bahati nasibu na ndio maana kunakuwa na mtu wa gaming board.

Weka apa tuzione.
 
Weka apa tuzione.
Weka apa tuzione.

Unajaribu kuwatetea hawa mafisadi na wezi... hapo hapo unazua maswali mengine je ni watanzania wangapi wanao uwezo wa kutumia Internet ...? Watanzania wangapi wanao uwezo wa kumiliki vifaa vyenye uwezo wa Internet na je ni watanzania wangapi wana uwezo wa kusoma na kuelewa kingereza kwa sbb ktk website yao sehemu kubwa wameandika kwa kingereza na je ni wateja wangapi watajielekeza kwenda katika website yao.. Kwa ajili ya kutaka kujua vigezo na masharti wakati ni rahisi kuweka kwa kifupi vigezo na masharti katika matangazo yao ili kumuweka mteja katika maamuzi muafaka ..acheze ama asicheze....usiseme gharama za matangazo ni kubwa.. Kumbuka mteja ana haki kisheria kupewa maelezo sahihi na kwa ukamilifu juu ya bidhaa au huduma husika....Mteja asiuziwe mbuzi ndani ya gunia.....! .
 
Kwa bahati mbaya ni kwamba tumekuwa tunatoa malalamiko au kejeli bila kuchunguza, ni kweli kwamba mapungufu yapo lakini sio kwa kiwango hicho.

Mfano: Ukiangalia website yao wameweka bei, na hata ukiwauliza kwenye mitandao ya jamii wanakupa bei husika. Pia mshindi anatakiwa kutuma ujumbe mmoja tu kucheki kama ameshinda. Promosheni ni bahati nasibu na ndio maana kunakuwa na mtu wa gaming board.
Unajaribu kuwatetea hawa mafisadi na wezi... hapo hapo unazua maswali mengine je ni watanzania wangapi wanao uwezo wa kutumia internet ...? Watanzania wangapi wanao uwezo wa kumiliki vifaa vyenye uwezo wa Internet na je ni watanzania wangapi wana uwezo wa kusoma na kuelewa kingereza kwa sbb ktk website yao sehemu kubwa wameandika kwa kingereza na je ni wateja wangapi watajielekeza kwenda katika website yao.. Kwa ajili ya kutaka kujua vigezo na masharti wakati ni rahisi kuweka kwa kifupi vigezo na masharti katika matangazo yao ili kumuweka mteja katika maamuzi muafaka ..acheze ama asicheze....usiseme gharama za matangazo ni kubwa.. Kumbuka mteja ana haki kisheria kupewa maelezo sahihi na kwa ukamilifu juu ya bidhaa au huduma husika....Mteja asiuziwe mbuzi ndani ya gunia.....! .
 
Kuna kitu hapa nmekiunga nikaona huenda kweli, kama jamaa wa voda wana make mil 300 per day, halafu wana toa 16mil, means watu wanatafuta pesa za uchaguzi,

Kuna uwezekanao Edo anatafuta pesa za uchaguzi kwa njia hii, ki ukweli wtz tunapigwa balaa, halafu kibaya zaidi hakuna anaetusaidia,..

Jambo la msingi watu wasicheze huu mchezo ni wizi zaidi ya escrow,
Nafikr police wangekuwa wameenda kukamata mkurugenzi cjui wanasubr nini

Isitoshe wasimamizi wa michezo hii ya bahati nasibu cjui nao wanapata mgao, maana mchezo haupo transparency kabisa lakin unashangaa unaendelea hii nchi inamaajabu mengi hili nalo ni ajabu tosho
 
IMaswali 9 kwa Vodacom

Leo si siku ya 12 tangu promotion ya shinda mamilioni ya jaymillions ilipoanzishwa na Vodacom Tanzania lakini imekuwa ikilalamikiwa na watu wengi kwenye mitandao ya kijamii na na mitaani kuwa "vigezo na masharti kuzingatia" inatumika kuwahadaa wananchi. Haya ni maswali tungependa Vodacom watujibu

1. Mimi naweza leta comments 150 za facebook na twitter zilizokuwa posted kuanzia tarehe 20-25 zikilalamikia sintofahamu ya jaymillions, je Vodacom wanaweza kuleta comments 10 tu zinazosifia?

2. Kwenye radio matangazo yenu yanasema hakuna kushiriki lakini usipotuma msg ukakatwa shilingi 300 basi huna nafasi ya kushinda, je 300 ni ya nini kama si bet ya kamari husika?

3. Je kuna tangazo lolote la redio, TV au hata bango (billboard) linalosema mwananchi atakatwa shilingi 300 kwa kila msg atakayotuma kuuliza kama kashinda?

4. Tangu shindano lianze, (ambalo mlisema mtatoa milioni 100 kila siku, milioni 10 na milioni 1) leo ni siku ya 12 ambayo kwa ahadi yenu ilibidi muwe mmetoa bilioni moja milioni 400 lakini mpaka leo tarehe 26 mmetoa milioni 16 tu, je ni hizi bilioni kadhaa anapewa nani?

5. Naskia vodacom ina wateja milioni 10, wateja laki moja tu ambao ni asilimia 1 tu ya wanachama wakituma msg ni shilingi 300'000'000 kwa siku sawa na shilingi 3'600'000'000 na vodacom wametoa milioni 16 tu kurudisha kwenye jamii mpaka sasa, hamuoni kua mnaondoa shilingi kwenye mzunguko na kuathiri uchumi?

6. Probability ya mshindi kutokea kwenye watu laki moja na sio kwenye watu milioni 9 na laki 9 ni sawa na kusema kila siku kuna nafasi moja ya pesa kuchukuliwa na vodacom wana nafasi 99 za kubaki na hela, je ipo ipo siku itatokea mtu atashida milioni 100?

7. Usiri wa kuwa mshindi atatajwa baada ya yeye kuwa katuma msg hamuoni kama inaweka mwanya wa wanaochezesha promotion kupanga matokeo na kujifaidisha wao wenyewe?

8. Je si wakati muafaka kwa Vodacom kutangazia umma kuwa promotion ya jaymillions ni kamari ambayo mshindi atachaguliwa miongoni mwa walioshiriki tu kwa kutuma msg ili kuwapa wanashiriki nafasi sawa ya kushinda?

9. Ni sahihi kusema jana Vodacom walikata internet kwa masaa matano wakati mjadala wa kuhoji kizungumkuti cha jaymillions umeshika kasi kwenye facebook, twitter na jamii forums?

Naamini wahusika wa Vodacom maswali haya yatawafikia, wanaweza wasijibu na hawatojibu ila kwa wanachokiona sasa kwenye mitandao ya kijamii waelewe kuwa watanzania wamebadilika, hawapelekeshwi tena

Vodacom walikimbia mjadala huu twita jana January 26 mwaka 2015. .....
 
Kwa uelewa wangu hakuna shindano la kupata hela bila kujiunga ili na wao wapate hela. Sasa badala ya wao kukwambia ujiunge kwanza wamebadili msemo tu kwa kusema ucheck kama umeshinda. Na bila kucheck huwezi kushinda. Hiyo ni lugha ya kibiashara imetumika ili kuhakikisha wanapata washiriki wengi ili waendelee kuwanyonya.
 
Back
Top Bottom