Masters ya History

Daniel Adrian

JF-Expert Member
Jan 1, 2019
311
322
Ndugu zangu, nna mpango wa ku apply masters ya history hapo UDSM ila sasa kabla sijafanya maamuzi naomba niulize swali kwa walio wahi kusema masters ya history au masters nyingine yoyote.

-Wanasema masters ni ngumu sana. Ugumu wake uko wapi hasa ?

-Masters inasomwaje ? Inasomwa kama bachelor au kuna mambo mengi ya zaidi yanaongezeka ?(zaidi ya lectures & course work).

-Ili ni-qualify kusoma masters, napaswa kuwa na GPA ya ngapi ?

Natanguliza shukrani.
 
Ndugu zangu, nna mpango wa ku apply masters ya history hapo UDSM ila sasa kabla sijafanya maamuzi naomba niulize swali kwa walio wahi kusema masters ya history au masters nyingine yoyote.

-Wanasema masters ni ngumu sana. Ugumu wake uko wapi hasa ?

-Masters inasomwaje ? Inasomwa kama bachelor au kuna mambo mengi ya zaidi yanaongezeka ?(zaidi ya lectures & course work).

-Ili ni-qualify kusoma masters, napaswa kuwa na GPA ya ngapi ?

Natanguliza shukrani.
Mmh! Kwa kifupi wewe ni kichaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama huna GPA ya 3.8 kwenda juu achana kabisa na masters za masomo ya kufundishia. Bora ufanye ya vitu vingine au kama ni mwalimu ni bora zaidi ukafanya bachelor nyingine kama human resource, procurement, law nk. Maana unaweza fanyiwa recategorization.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawazekana kufanya masters tofauti na vitu ulivyosemea bachelor ?

Na unaweza nielezea kidogo kuhusu recategorization
 
Hapo Department of History, Masters ujiandae miaka 9 ndio utamaliza. Mijitu ina roho mbaya ajabu
Huwa wanafanya ni nini kuzuia watu ?

Lakini pia naomba unishauri, nifanye masters ya kitu gani kingine tofauti na history ? Nimesoma bachelor of Education(history na kiswahili).
 
Sina kazi. Nilikuwa nafundisha private school fulani ila mkataba ukaisha sijaongezwa. Na serikali haijaajili tangu nilipomaliza
Ningekushauri kiroho safi ndugu yangu hiyo pesa unayotaka kulipa ada ya Masters ifanyie biashara. Mm nilipata scholarship na bado maisha yalikuwa tight. Komaa uingize kipato kwanza masters sio kwa hali yako ninavyoiona
 
Inawazekana kufanya masters tofauti na vitu ulivyosemea bachelor ?

Na unaweza nielezea kidogo kuhusu recategorization
Inawezekana ndio, unaweza kufanya masters za tofauti na bachelor. Ila kama utaajiriwa kama mwalimu serikali, masters hawaivalue.

Recategorization ni pale ambapo serikali imekuajir kama mwalimu ila kwa kuwa una elimu pia ya kitu tofauti wanakuhamishia ktk kitengo kingine. Sana sana watu wa bachelor ndio wanufaikaj wakubwa wa hili ndio mana nikakushaur usome bachelor nyingine. Tatizo letu wengi tunapenda kusoma kwa kupanda juu ili tuonekane wasomi ila kuna watu wanamaliza bachelor ya ualimu na wanaenda kusoma bachelor ingine au hata diploma tu na hiyo diploma inamtoa vzr.

Masters za masomo soko lake la ajira ni dogo sana sana sana kwenye vyuo vikuu ndio maana nkakwambia kama huna GPA ya 3.8 usihangaike na master ya somo.

Achana na kufanya masters, hiyo hela pambana na maisha. Watu wengi huenda kufanya masters na high expectations watakapomaliza ila wakimaliza mambo hua tofauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana mkuu, sasa nimeghairi rasmi kufanya masters. Ngoja nitafute biashara yoyote tu
Inawezekana ndio, unaweza kufanya masters za tofauti na bachelor. Ila kama utaajiriwa kama mwalimu serikali, masters hawaivalue.
Recategorization ni pale ambapo serikali imekuajir kama mwalimu ila kwa kuwa una elimu pia ya kitu tofauti wanakuhamishia ktk kitengo kingine. Sana sana watu wa bachelor ndio wanufaikaj wakubwa wa hili ndio mana nikakushaur usome bachelor nyingine. Tatizo letu wengi tunapenda kusoma kwa kupanda juu ili tuonekane wasomi ila kuna watu wanamaliza bachelor ya ualimu na wanaenda kusoma bachelor ingine au hata diploma tu na hiyo diploma inamtoa vzr.
Masters za masomo soko lake la ajira ni dogo sana sana sana kwenye vyuo vikuu ndio maana nkakwambia kama huna GPA ya 3.8 usihangaike na master ya somo.
Achana na kufanya masters, hiyo hela pambana na maisha. Watu wengi huenda kufanya masters na high expectations watakapomaliza ila wakimaliza mambo hua tofauti.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana ndio, unaweza kufanya masters za tofauti na bachelor. Ila kama utaajiriwa kama mwalimu serikali, masters hawaivalue.
Recategorization ni pale ambapo serikali imekuajir kama mwalimu ila kwa kuwa una elimu pia ya kitu tofauti wanakuhamishia ktk kitengo kingine. Sana sana watu wa bachelor ndio wanufaikaj wakubwa wa hili ndio mana nikakushaur usome bachelor nyingine. Tatizo letu wengi tunapenda kusoma kwa kupanda juu ili tuonekane wasomi ila kuna watu wanamaliza bachelor ya ualimu na wanaenda kusoma bachelor ingine au hata diploma tu na hiyo diploma inamtoa vzr.
Masters za masomo soko lake la ajira ni dogo sana sana sana kwenye vyuo vikuu ndio maana nkakwambia kama huna GPA ya 3.8 usihangaike na master ya somo.
Achana na kufanya masters, hiyo hela pambana na maisha. Watu wengi huenda kufanya masters na high expectations watakapomaliza ila wakimaliza mambo hua tofauti.
Sent using Jamii Forums mobile app

Asante sana mkuu, sasa nimeghairi rasmi kufanya masters. Ngoja nitafute biashara yoyote halali.
 
Back
Top Bottom