Only kuhusu computer???Habarini, kwa mtu yoyote mwenye kupata shida au swali kwenye application za Masters udsm unaweza kuniuliza swali nikakusaidia, au kama unahitaji maelezo kuhusu courses ambazo ni computer related kwa udsm unaweza nicheki inbox pia.
Je ni kweli kusoma master's UDSM ni lazima use GPA ya kuanzia 3.6 & above?Habarini, kwa mtu yoyote mwenye kupata shida au swali kwenye application za Masters udsm unaweza kuniuliza swali nikakusaidia, au kama unahitaji maelezo kuhusu courses ambazo ni computer related kwa udsm unaweza nicheki inbox pia.
Je ni kweli kusoma master's UDSM ni lazima use GPA ya kuanzia 3.6 & above?
Tofauti kati ya hiyo mifumo miwili ni ipi? Je ni upi una soko au ni upi una future nzuri kwa mhitimu?Si kweli, unatakiwa kuwa na G.P.A kuanzia 2.7 kama utasoma kwa mfumo wa coursework and dissertation( utaingia class , utafanya assignments, UE na mwisho research ).
Kama utafanya kwa thesis unatakiwa kuwa na G.P.A kuanzia 3.5, mfumo huu hautoingia class kufundishwa, hautofanya assignments wala UE... utafanya research tu.
Hili swali limejibiwa tayari lakini pia lipo wazi katika prospectors yaoJe ni kweli kusoma master's UDSM ni lazima use GPA ya kuanzia 3.6 & above?
Nashukuru kwa ufafanuzi.Si kweli, unatakiwa kuwa na G.P.A kuanzia 2.7 kama utasoma kwa mfumo wa coursework and dissertation( utaingia class , utafanya assignments, UE na mwisho research ).
Kama utafanya kwa thesis unatakiwa kuwa na G.P.A kuanzia 3.5, mfumo huu hautoingia class kufundishwa, hautofanya assignments wala UE... utafanya research tu.
Siingii class nafany tu research af nalipa ada ile ile or ?Si kweli, unatakiwa kuwa na G.P.A kuanzia 2.7 kama utasoma kwa mfumo wa coursework and dissertation( utaingia class , utafanya assignments, UE na mwisho research ).
Kama utafanya kwa thesis unatakiwa kuwa na G.P.A kuanzia 3.5, mfumo huu hautoingia class kufundishwa, hautofanya assignments wala UE... utafanya research tu.
Siingii class nafany tu research af nalipa ada ile ile or ?
Ntakua naibiwa apo
Tofauti kati ya hiyo mifumo miwili ni ipi? Je ni upi una soko au ni upi una future nzuri kwa mhitimu?
Je mtu anaweza kusoma masters tofauti na degree take ya kwanzaHabarini, kwa mtu yoyote mwenye kupata shida au swali kwenye application za Masters udsm unaweza kuniuliza swali nikakusaidia, au kama unahitaji maelezo kuhusu courses ambazo ni computer related kwa udsm unaweza nicheki inbox pia.
Habarini, kwa mtu yoyote mwenye kupata shida au swali kwenye application za Masters udsm unaweza kuniuliza swali nikakusaidia, au kama unahitaji maelezo kuhusu courses ambazo ni computer related kwa udsm unaweza nicheki inbox pia.
Naomba kufahamu selection zinatoka lini nimefabya application tangu march bado sijajibiwa....nimeapply for project planning and management kozi inatarajiwa kuanza october mpaka sasa sina mrejesho wowote