Mr Kazembe
JF-Expert Member
- Mar 24, 2019
- 374
- 483
Ningependa kujua naweza kuanzisha mastercard au visa card kwa papo hapo au lazima niwe na account kwanza na je bank ipi ni nzuri kwa mastercard.....
Siyo lazima uwe na kadi hata mpesa na airtel master card ziko poa tu, au Bank ABC pia wanatoa card bila account, ukitaka ya bank bora equity maana hawa crdb na nmb wazinguajiNingependa kujua naweza kuanzisha mastercard au visa card kwa papo hapo au lazima niwe na account kwanza na je bank ipi ni nzuri kwa mastercard.....
View attachment 1573111
kaka nielekeze hii visa card na mastercard ipi nzuriE.Q.U.I.T.Y Visa card. Full stop.
Nenda Equity bank. Nimetumia VISA ya Equity na MasterCard ya CRDB.kaka nielekeze hii visa card na mastercard ipi nzuri
mkuu hivi visa card na master card ipi nzuriNenda Equity bank. Nimetumia VISA ya Equity na MasterCard ya CRDB.
Huduma ya Equity ina unafuu wa kila aina.
BancAbc sio lazima uwe na Account ukifika unajaza fomu unapewa kadi papo hapo, sema kuwa makini sana jamaa wana hidden fees kila transaction inapofeli wanaweka -2000 hivyo kwa muda fulani card isipokuwa na hela na kuna website sumbufu sumbufu inayojaribu kufanya transaction unaweza pata deni kubwa sana.
Njia rahisi kwa sasa tunayotumia ni Mastercard ya mpesa ama Airtel money, hizi ni rahisi zaidi.
mkuu hivi visa card na master card ipi nzuri
Mkuu unajiungaje na vodacom nataka kujiunga Netflix wanataka hizo cardTumia mpesa mastercard au airtel mastercard. . Ziko very efficient na rahisi kutumia