lowassa anahaidi uboreshaji na siyo mabadiliko. Nasema uboreshaji kwa kua kila anachoahidi ni kiko kwenye utekelezaji wa ccm au ahadi za ccm na hii mfano suala la elimu anasema elimu bure badala ya kuahidi mfano kutumia lugha mama kiswahili hadi chuo au kiingereza toka darasa la kwanza n.k kwa hiyo underpinnings za elimu zibaki vile vile yeye lowassa mabadikiko yake ni ubure hii tunaita cosmetic make up na siyo mabadiliko.
Kwenye suala la katiba lowassa mwenyewe hajahaidi kama rasimu ya warrioba italetwa kwa wananchi kupigiwa kura ya maoni ndani ya muda let say mwaka au miezi mi3 au siku 100 za kwanza za utawala wake,kuhusu tatizo ufisadi hajaongea kama ataanzisha mahakama au time ya kujadili na kurudisha rasilimali zikizoibiwa katika kipindi fulani chini ya ccm mfano wa buhari kule nigeria ambapo aliahidi kufanya hivyo kama mojawapo ya ahadi za mabadiliko nigeria na kuua ufisadi nchini humo na mpaka sasa nigeria na buhari wanefanikiwa kurudisha kwa umma $50b zikizokwapuliwa na walafi wachache .
Kwa mantiki hii hapa tunaona huyu llwassa asiyeamini mabadiliko ni mtu mbinafsi anayetaka tu kutimiza ndoto binafsi awe rais wa tanzania basi.
Mabadiliko uwa hayawi vuguvugu mabadiliko ni moto mabadiliko siyo kuboresha mabadikiko ni kufutilia mbali yaliyopo sasa, mabadiliko uwa na ahadi zinazopimika ndani ya muda unaopimika na siyo ahadi tu zisizopimika, na muhimu mabadiliko hufanywa na wale ambao hawakua mpaka hivi punde tu hawaamini kwenye hayo mabadiliko na walikua ni sehemu kubwa ya tatizo lenyewe in the first place hadi tukatamani hayo mabadiliko.