dumesuruali
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 287
- 621
Wote hao washawahi kusemwa ni kuku watamu(mchelemchele)...kuna kitu umekimaanisha najua...
Ukakasi,, mleta mada utakuwa na sababu zako,, hapo mwanaume labda ni mmoja tu..Hawa ni Mastaa wa bongo wasio na skendo chafu yeyote
1.Hemed PhD
View attachment 407342
2.Vicent kigosi
View attachment 407343
3.Tino (bongo movie)
View attachment 407344
4.Daxx Cruz (Model)
View attachment 407345
5.Ommy Dimpoz (music)
View attachment 407347
6.Benny Kinyaiya
View attachment 407348
7.Prience fey (team wema)
View attachment 407346
Kama unabisha njoo hapa!! Ukabushe!!
Hujui maana ya skendo wewe!!!!!!Ule wimbo tu ulikua ni kukamilisha mashairi!! ....labda kama kuna wanawake waliodate nao ndio wanaweza thibitisha
Hawa nao mastaaa??? Au kwenu huko....Hawa ni Mastaa wa bongo wasio na skendo chafu yeyote
1.Hemed PhD
View attachment 407342
2.Vicent kigosi
View attachment 407343
3.Tino (bongo movie)
View attachment 407344
4.Daxx Cruz (Model)
View attachment 407345
5.Ommy Dimpoz (music)
View attachment 407347
6.Benny Kinyaiya
View attachment 407348
7.Prience fey (team wema)
View attachment 407346
Kama unabisha njoo hapa!! Ukabushe!!
Alijitangaza lini mkuu!! Kesi hii kuzushaMbona hapo wengi wana kashfa za ushoga? Hemed hadi alijitangaza...
Mbona hao wote skendo yao inaonekana kama wanakunywa maji SanaHawa ni Mastaa wa bongo wasio na skendo chafu yeyote
1.Hemed PhD
View attachment 407342
2.Vicent kigosi
View attachment 407343
3.Tino (bongo movie)
View attachment 407344
4.Daxx Cruz (Model)
View attachment 407345
5.Ommy Dimpoz (music)
View attachment 407347
6.Benny Kinyaiya
View attachment 407348
7.Prience fey (team wema)
View attachment 407346
Kama unabisha njoo hapa!! Ukabushe!!
Umeongea ukweli mtupu mkuu namkubali huyu jamaaMmoja tu ndo staa asiye na skendo, mwenye nidhamu ya hali ya juu... Millard Ayo
HahahaaaInamaana dudubaya anaskendo!??
naona uliikopi hii na ukaipost bila hata kuifikiria maana uzi wako umeuanzisha sept 26,2016 ilihali huku waliupost sep 7,2016
7 stars Bongo without scandal - news
Aisee huko mi sikufikaMbona ni watoto wazuri wote uloweka hapo mkuu
Karibu wote hao ni mabwabwa tuBen kinyaiya si wanasema anashikaga UKUTA?