Hata cwajui wacha nipite zanguDaxx Cruz na Prince fey ni mastaa wa nini??
Kajichupuaaa anakunywa maji sanabora young killer dogo hana kashfa za kzembe
Dax ,n tz model anaishi south ameanzisha hata brand ya Sox za dax!!Dax Cruz ndo nani? Prince fey ndo nan? Siku nyingine ukitaja mastaa wawe mastaa kweli na sio unaowajua wewe tu.
Mkuu taratibu!! Mi siongeagi bila data labda wewe hayo maneno yako unaweza kuyathibitsha au hisia zako zinakutumaInawezekana wew ni basha mana umewakusanya watoto wa mama ote kwa pamoja eti hawana skendo hahaahaha. Hahahahahaaha hahaahahaha eti hawana skendo hahahahahaha washika ukuta hahahahahaaaha hahaahaaha
Vipi naww ile skendo yako ile Ya makonda!!namkubal sanaaa ila nywele za kifuan szpend
Kama nan apoMbona kwenye hio list yako kuna wanaotoa 0713 . . Au sio skendo ckuizi?!
Ha ha haMleta mada ulitaka tucheke au? Unajuwa maana ya skendo (scandal) ni nini? Kama unajuwa kwanini umeweka hao vichaa hapo juu? Unafaham Ray ni mnywa maji mzuri tu, tena kwa siku anakunywa pipa zima ndiyo maana mweupe. Hemed Phd sisemi mengi juu yake. Ben Kinyaiya na shoga yake Ommy ni wapishi wa kisamvu, usidanganyike kuonyeshwa watoto kwani mjini hapa gia ziko nyingi tu. Kingine, umesahau Lulu na Wema....hawa nao hawanaga skendo.
Mkuu si umtoboleee,huyu si shoga kabisa tena yumo humu kutwa nzima anatafta wapiga 0714......?Vipi naww ile skendo yako ile Ya makonda!!
3.Tino (bongo movie)
View attachment 407344
Huyu onmy Anakashfa ya kupumulia na wanaume wenzake hio sio skendo ya karneSasa ommy si ana kashifa kwamba jogoo apandi mtungi
Source NEY WA MITEGO
1 Huyu prof jay ana, kashfa ya kua mbunge,Ay
Profesa Jay
Joh Makini