Massage za Dar

Massage za Dar

Utajibizana nini sasa, uzinzi wako unataka kuuhalalisha wa mwengine ndio uwe haramu, nyie wote ni wafanya zinaa, wazinzi, mafirauni, jitakase mwili wako na nafsi yako kwanza
Yani kumuita mtu mzinifu ni kitu ambacho hakileti maana kabisa.

Yani watu wawili wamekubaliana hakuna aliemlazimisha mwenzie kutumia viungo vyao vya mwili kwa starehe zao binafsi na wengine kupata fedha halafu wewe hii inakupa shida, unasema ni tabia mbaya tena unaipa na jina eti "uzinifu"

Kwa kifupi kinachoendelea hapo massage ni mtu kutoa pesa, wengine kupata pesa na kutumia viungo vyao vya mwili kwa starehe zao binafsi. Tatizo liko wapi hapa?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Yani kumuita mtu mzinifu ni kitu ambacho hakileti maana kabisa.

Yani watu wawili wamekubaliana hakuna aliemlazimisha mwenzie kutumia viungo vyao vya mwili kwa starehe zao binafsi na wengine kupata fedha halafu wewe hii inakupa shida, unasema ni tabia mbaya tena unaipa na jina eti "uzinifu"

Kwa kifupi kinachoendelea hapo massage ni mtu kutoa pesa, wengine kupata pesa na kutumia viungo vyao vya mwili kwa starehe zao binafsi. Tatizo liko wapi hapa?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Ungesoma tulipoanzia usingeandika hili gazeti, kama ishu ni mtu kutoa viungo vyake kwanini amseme shoga kua ni mchafu wakati na yeye anafanya hayo hayo machafu afanyayo shoga kwa kutumia viungo vyake?
 
Ungesoma tulipoanzia usingeandika hili gazeti, kama ishu ni mtu kutoa viungo vyake kwanini amseme shoga kua ni mchafu wakati na yeye anafanya hayo hayo machafu afanyayo shoga kwa kutumia viungo vyake?
Point yangu ilikuwa awe shoga, awe sio shoga kumuita mtu mzinifu hakuleti maana.

Na mtu asie shoga pia ni kweli hastahili kumlaumu au kumtusi shoga (kama hii ndo point yako sikupingi)

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Kama wewe ni faithful kwa mkeo kaka huhitaji massage bed. Kitanda chako hicho cha kawaida, nunua na ile wanaita Yoga Mat basi inatosha. Mkeo pia atapata uzoefu kadiri siku zinavoenda. Nakuambia kaka utaenjoy sana na wewe unakua na faida moja kwamba hununui.
Ahsante sana!!
 
Back
Top Bottom