kikahe
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 1,350
- 284
Hata mpira hatuangalii nyumbani.Mtu MWENYE ndoa au mwenza Kwanini usikandwe kandwe nyumbani kwako?
Enyi wanaume wa Dar inawahusu Hili.
Hata mpira hatuangalii nyumbani.Mtu MWENYE ndoa au mwenza Kwanini usikandwe kandwe nyumbani kwako?
Enyi wanaume wa Dar inawahusu Hili.
mkuu nipe hizo no njoo nazo kule pm utakuwa umenisaidialabda nikupe number ya dada mmoja yuko ofis za maji anatoa sana tigo mweupe hv mdogo mdogo
Utakuwa umenielewa vibaya Mkuu
Sipingi na wala sioni ni kitu kibaya kukandwa kandwa ,Mimi binafsi ziwezi kwenda hizo sehemu, Mke wangu atanifanya hivo ,,
Maisha ni mtu apendavo
Watu wengine wa ajabu mno.... mke unae nyumbani.... utakie nini kwenda kukandwa nje! AahUshamba tu
Mkuu hata television tunazo nyumbani ila mpira tunaangalizia bar
"Typed with my thumbs."
Watu wengine wa ajabu mno.... mke unae nyumbani.... utakie nini kwenda kukandwa nje! AahUshamba tu
yAcha kuua biashara za watu wewe
why unasema anaua biashara za watuAcha kuua biashara za watu wewe
ahahaa...nimekupm mkuuKuna dada niliwahi kukagegeda, single mother....
Katoto kanaenda katerero sio mchezo, ana asili ya burundi hukooo...
Sasa alinidanganya kuwa anafanya kazi salon za kikee....
Kumbe bhana kanafanya hizo kazi za kusingaa kinondoni hapo....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mm siwezi kwenda huko ,,ntafanyiwa nyumbani na wife
Massage lengo lake kubwa ni nini hasa kama kuna tatizo ukienda kufanya massage omba ufanyiwe na mwanaume mwenzio ukiliwa usilalamike
Sent using Jamii Forums mobile app


Shenz kabisaYote tisa kumi ishu ya condoms ulijuaje kwamba hawatumii???????Sina mpango wa kutangaza wala kuharibu,! Ningekuwa na hiyo amri bila shaka ningeharibu. Lakini uwezo huo sina hivyo ndani ya mamlaka yangu kutumia jamvi hili ni kuwatahadharisha wateja ama wale wapendao huduma hii waendapo huko ni vema wakajua mbivu na mbichi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi naona anavuruga watu akili tu, umbea umbea,Mods plz ipo mada humu kama hii iunge tu ili server yetu isijae cc Paw
Sent using Jamii Forums mobile app