Hizo massage center na sehemu za kunyoa kwa Sina sio salama. Tulifanya utafiti kwa kumtumia mdada mmoja tulifanya utafiti saloon 13 na vituo vya kusinga 7.
Tulichokifanya ni mdada aliomba kazi kwenye hizo saloon sisi (5) tukawa tunajifanya wateja (kunyoa, scrub na n.k) lakini mlendani ilikua ni kutupa Hali halisi kinachofanyika saloon hapo n.k vivyo hivyo kwenye vituo vya massage.
Conclusion: moja sehemu kubwa ya wadada was salon za kiume ni sehemu ya contact na so called wateja wao na pia sehemu zenye massage kila kitu huishia hapo.
Kwenye vituo vya kusinga hakuna ubishi Yale ni madanguro. Hakuna hats mmoja aliyesomea hiyo kazi wanachofanya ni kukupapasa ili tu maruhani yakupande. No professional staffs hata mmoja.
Kwenye saloon na hivyo vituo ndipo watoto wadogo wanafundishwa ukahaba kwa kisingizio Cha ajira ya kusinga. Mazingira yao Ni hatarishi Sana maana, akifanya hupaswa kutoa commission kwa mwenye kituo hivyo hawaruhusiwi kuwa na condom hivyo akifuata kondom hujulikana kapata mteja.
Hivyo wazee was fast fasta angalieni upya