Massage parlour ni vituo vya ngono

Massage parlour ni vituo vya ngono

getrusa

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
2,150
Reaction score
1,824
Wakuu habari za jioni hii, nimefanya tafiti ndogo kwenye hivi vijituo vya kusinga maarufu kama massage center hasa zilizo Dar es Salaam. Maeneo ya Sinza.!

Nilichokigundua hivi ni vituo maalumu kwa watu wanaohitaji huduma ya kugegeda/kupata papuchi.

Nimekuja na kauli hii baada ya kujiridhisha na kuwa na hakika ya aina ya huduma ambayo inatolewa na wanawake hawa ambao ki ukweli ni sehemu ya kujipatia kipato lakini mazingira yao ya kazi sio salama.!

Kituo cha kwanza nilichoenda mhudumu/ ama binti anayefanya hiyo kazi baada tu ya kumtupia jicho nikagundua kuwa zaidi ya kazi ya massage pia ni (SW. ) sexual worker.! Mtoa huduma ya papuchi.

Nikaachana na sehemu hiyo nikaenda kituo cha pili mazingira niliyokutana nayo na wanawake niliowakuta hapo kwa kuwatazama tu nilichokiona kituo cha kwanza nikakikuta hapa pia (SW.)
Hata nilipoenda kituo cha tatu bado mazingira ni yale yale.!

Hivyo uamuzi ukawa wangu kusuka ama kunyoa kufuatana na Bei zao.
Jambo la pili nililogundua vituo hivi karibu vingi ni nyumba za watu zilizojengwa kifamilia ambapo ukifanyiwa massage kwenye chumba chenye choo na bafu Master bedroom bei yake ni tofauti na chumba cha choo nje.

Angalizo.:
Wadada hawa hawaoneshi kama Condom ni kipaumbele katika kazi yao kutokana na utafiti wangu hivyo enyi wateja mnaopenda kwenda kukandwa kandwa.! Amsheni akili zenu. Kumbukeni

"Mchuma janga hula na wa kwao"!!
Na bila shaka biashara hii ni biashara ya msimu kama ilivyokuwa ya mayai ya kwale. Kuweni makini.
Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengine hawana ofisi wameweka mabango ya matangazo na namba za simu, ukihitaji huduma unawapigia simu halafu unamuelekeza sehemu unayotaka wewe mwenyewe upatiwe huduma kama ni nyumbani kwako, gesti, gheto n.k

Maendeleo hayana chama
 
Sina chakucomment ila nimeona nisipite kimya kimya
 
Unajua sijakwelewa?!?!?!!!

Hivi unatangaza biashara au unataka kuharibia watu kazi?!?!
Sina mpango wa kutangaza wala kuharibu,! Ningekuwa na hiyo amri bila shaka ningeharibu. Lakini uwezo huo sina hivyo ndani ya mamlaka yangu kutumia jamvi hili ni kuwatahadharisha wateja ama wale wapendao huduma hii waendapo huko ni vema wakajua mbivu na mbichi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu MWENYE ndoa au mwenza Kwanini usikandwe kandwe nyumbani kwako?


Enyi wanaume wa Dar inawahusu Hili.
Tatizo wanawake wengi kwenye ndoa badala ya kuondoa uchovu wa mwili kwa wenza wao huwa wanaongeza uchovu na msongo wa mawazo kwa waume zao.!
Wake za watu wengi huishi na waume zao kinafiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulikuta na mashine ya kulipia kodi?
La sivyo utafiti wako haujakamilika

Sent from my SM using Tapatalk
 
Na joto lote hilo papuchi hazitemi harufu?.


Nasikia wengi wanaovaa madera huko dar kwa joto hilo wanatembea bila ya kuvaa nguo ya ndani ( pichu)

Wakihofia kuwaletea fangasi na joto ambalo linasababisha mapaja kuchubuka na hatimaye kusababisha maeneo ya jikoni kutoa harufu mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom