Wanawake wenzangu hii ni week end inaanza leo kuna hizi saloon za kiume ambazo zinawahudumia wanaume kwasehemu kubwa zimekuwa majanga
Mwanaume akishaa anza kushikwa anakubali kila kitu nasikikia siku hizi wanamaliza huko huko
Serikali itusaidie kutenganisha kati ya saloon na maeneo ya massage maana kuzichanganya hizi sehemu moja imesababisha sisi wenye ndoa kuibiwa bila woga maana wakiingia ndani anahudumiwa bila woga wala wasiwasi
We mwanamke natamani ungekuwa mke wangu jinsi ulivobobea kuchunga mzigo ka CIA ,vizuri xn,hakuna haja ya kusaidiwa na serikali naomba JISAIDIE mwenyewe kwa kumpatia massage ilotukuka akiwa home ,ataisahau ya mtaani.