Masoud Kipanya amkumbuka Lowassa

mwamajinja mapunga

JF-Expert Member
Dec 23, 2014
1,074
607
Habari ya Jumanne ya leo, kama kichwa cha uzi kinavyosema. Masoud Kipanya maarufu kama KP wa Clouds FM na Mchoraji wa Cartoons amkumbuka Lowassa kupitia andiko lake hasa Katuni kwa wanaomuelewa ni issue ya kwenda kutonesha kidonda wahanga wa Tetemeko Kagera kwamba hawatolipwa wala kujengewa. Angekuwa Lowassa asingesema haya hata kama asingewasaidia wahanga.

 
Huyu masoud siku akija msifia magufuli bila hata kuuliza tutaijua elimu yake,skendo zake,familia yake hadi wanyama anaofuga. Watanzania sio watu wa mchezo mchezo sifia au ponda wanapopenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…