Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 2,211
- 3,517
.
1. Mwenye kujua maslahi ya Wakurugenzi TANESCO atujuze. Naweza kulamba uteuzi hapo TANESCO muda wowote, insha'Allah.
2. Nipo Mlingotini ubani kama wote. Safari hii MD lazima nichukue mwenyewe. Nikiingia hapo lazima ninunue apartments Dubai.
#Reforms_tupa_kule#.
Wabillah Taufiq
Bure kabisa!! yaani badala ya kuja na mikakati ya kutusambazia umeme nchi nzima na kuzima mpango wa kununua umeme Ethiopia, wewe unatuletea matamanio yako ya kununua majumba Dubai!!! Shame on you!!! Au wewe ndo umemuua mtani wangu huyo.1. Mwenye kujua maslahi ya Wakurugenzi TANESCO atujuze. Naweza kulamba uteuzi hapo TANESCO muda wowote, insha'Allah.
2. Nipo Mlingotini ubani kama wote. Safari hii MD lazima nichukue mwenyewe. Nikiingia hapo lazima ninunue apartments Dubai.
#Reforms_tupa_kule#.
Wabillah Taufiq
Mbona jina tumeshapeleka kwa President, bado kutangazwa tu, she is a young lady, we endelea na kuroga tu1. Mwenye kujua maslahi ya Wakurugenzi TANESCO atujuze. Naweza kulamba uteuzi hapo TANESCO muda wowote, insha'Allah.
2. Nipo Mlingotini ubani kama wote. Safari hii MD lazima nichukue mwenyewe. Nikiingia hapo lazima ninunue apartments Dubai.
#Reforms_tupa_kule#.
Wabillah Taufiq
We ungeweza bila kupiga? umezungukwa na vigogo we ndyo mtu wa kutoa pasi.Kwa nchi ambayo haina Dira wala Targets.
Kila atakayeteuliwa lazima awe mpigaji.
Haiwezekani unateua mtu-na hana vision ya utekelezaji--na hawajibishwi akikosea.
Kila mtu anakula kwa urefu wa kambaBure kabisa!! yaani badala ya kuja na mikakati ya kutusambazia umeme nchi nzima na kuzima mpango wa kununua umeme Ethiopia, wewe unatuletea matamanio yako ya kununua majumba Dubai!!! Shame on you!!! Au wewe ndo umemuua mtani wangu huyo.
Kweli et dereva wake alikwepa muendesha baiskeli usiku wa saa saba, na hiyo muendesha baiskeli hajulikaniHuyo mwendazake mwenyewe inawezakana kwa asilimia kubwa ameondoka kwa kamati za ufundi, mazingira ya hio accident yananipa mashaka sana.
Komaa na maisha yako dogo1. Mwenye kujua maslahi ya Wakurugenzi TANESCO atujuze. Naweza kulamba uteuzi hapo TANESCO muda wowote, insha'Allah.
2. Nipo Mlingotini ubani kama wote. Safari hii MD lazima nichukue mwenyewe. Nikiingia hapo lazima ninunue apartments Dubai.
#Reforms_tupa_kule#.
Wabillah Taufiq
Wazee wamesema alikuwa anataka kugombea jimbo, wenzake wamemuwahi.Kweli et dereva wake alikwepa muendesha baiskeli usiku wa saa saba, na hiyo muendesha baiskeli hajulikani