and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,107
- Thread starter
- #61
Mnyika anachekea Chooni tu kila mwisho wa mwezi
Unataka wasilipwe? Familia yake itakula kwako? Watoto wake na mahitaji Yao utatimiza wewe? Idiot!Katibu Mkuu CHADEMA anastahili zifuatazo kwa Cheo chake,
1. Mshahara 7m TZS/mwezi (take home).
2. Usafiri/Gari SUV (4WD), dereva na posho ya mafuta.
3. Kutumia VIP Lounge akiwa airport.
4. Posho za safari nje na ndani ya nchi.
**Sasa jichanganye bodaboda eti unaenda kwenye kesi ya Lissu wakati wenzako mshahara unasoma
Hoja ni kwamba bodaboda wasiingie kichwa kichwa Kwenye maandamano ya kwenda Kisutu. Huku familia zinawategemea wakati mwenzao Mnyika yupo kazini tayari kwa mashahar mnono.Unataka wasilipwe? Familia yake itakula kwako? Watoto wake na mahitaji Yao utatimiza wewe? Idiot!