Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 4,685
- 7,699
Watu hawataki mshahara,bali wasicho kitaka ni kuwepo kwa UCHAFUZI.1. Mshahara 7m TZS/mwezi.
2. Usafiri/Gari SUV (4WD) na posho ya mafuta.
3. Kutumia VIP Lounge akiwa airport.
**Sasa jichanganye bodaboda eti unaenda kwenye kesi ya Lissu wakati wenzao wapo karibu mshahara unasoma
