Maslahi ya Katibu Mkuu CHADEMA

Maslahi ya Katibu Mkuu CHADEMA

mwambieni heche aende vatican msibani wakuu wote wa umoja wa ulaya watakuwa pale
Una kichwa kizito kama cha WASSIRA na Samia ... Ng'ombe wwe!.
 
Wale bodaboda +Wajasiliamali wamegoma kuandamana, una maoni gani???
Cdm hailazimishi mtu kuandamana😃😃 cha ajabu sisiem mnazuia waandamaji Ili hali wasiotaka kuandamana hawalazimishwi!. Hamjioni mlivyo wajinga nyie ng'ombe wa samia!.
 
1. Mshahara 7m TZS/mwezi.
2. Usafiri/Gari SUV (4WD) na posho ya mafuta.
3. Kutumia VIP Lounge akiwa airport.

**Sasa jichanganye bodaboda eti unaenda kwenye kesi ya Lissu wakati wenzao wapo karibu mshahara unasoma
Upupu mtupu
 
1. Mshahara 7m TZS/mwezi.
2. Usafiri/Gari SUV (4WD) na posho ya mafuta.
3. Kutumia VIP Lounge akiwa airport.

**Sasa jichanganye bodaboda eti unaenda kwenye kesi ya Lissu wakati wenzao wapo karibu mshahara unasoma
Kusikiliza kesi ni kuvunja sheria?; kweli hii Nchi sasa inaongozwa na mapete
 
mshahara kiduchu, yaani ni mshahara wa intern bank au mgodini, kha ndo ukotayari kufa?
Kuna mshahara ambao mtu yupo tayari kufa ?!!!

Watu wanashindwa kuelewa kwa mtu ambaye ni mwanaharakati na anataka kufanya changes hakuna position hio ni zaidi ya pesa.., na kwa yule ambae yupo pale kupata fursa na kujinufaisha mshahara sio kila kitu hapo bado kuna marupurupu na fursa zinazokuja sababu ya ukatibu wako mkuu
 
1. Mshahara 7m TZS/mwezi.
2. Usafiri/Gari SUV (4WD) na posho ya mafuta.
3. Kutumia VIP Lounge akiwa airport.

**Sasa jichanganye bodaboda eti unaenda kwenye kesi ya Lissu wakati wenzao wapo karibu mshahara unasoma
Huo mshahara ulitokana na sharti la Padri Slaa alipoambiwa aache ubunge agombee urais. Akasema akikosa uRais alipwe 7m kwa mwezi.
 
1. Mshahara 7m TZS/mwezi.
2. Usafiri/Gari SUV (4WD) na posho ya mafuta.
3. Kutumia VIP Lounge akiwa airport.

**Sasa jichanganye bodaboda eti unaenda kwenye kesi ya Lissu wakati wenzao wapo karibu mshahara unasoma
Kwenda kwenye kesi kosa liko wapi? Mnaogopa kesi mliyoifungua wenyewe? Mnaogopa uchaguzi huru? Mnaogopa wananchi mnaosema wanawakubali? Mmetawala miaka zaidi ya 60 hamjiamini kipi mnachokiweza sasa?Mnajaza watu hofu tu
 
1. Mshahara 7m TZS/mwezi.
2. Usafiri/Gari SUV (4WD) na posho ya mafuta.
3. Kutumia VIP Lounge akiwa airport.

**Sasa jichanganye bodaboda eti unaenda kwenye kesi ya Lissu wakati wenzao wapo karibu mshahara unasoma

Analipwa hela ndogo sana.
Hii ni fedha ndogo mno.
Ni mala tatu ya mshara wa kaka yangu (37)
 
Wahuni wanapiga pesa kwenye hivi vyama. Halafu bodaboda wanaambiwa waandamane kwenda Kisutu
 
Tatizo ccm ni majizi, watu wamechoka kuona majizi yanatamba Kila Kona mpaka vyombo vya habari vingi vinatekwa na majizi. Yaani wanaiba maboksi ya kura, wanadhurumu walioshinda kwa haki, wakiwa serikalini wanaiba fedha za walipa Kodi, wanajimilikisha fedha utadhani hizo fedha wanatoa kwa baba zao na mama zao!.... Kumbe zetu wanatukamua Kodi na kukutusi juu..

Wandewa wamesema saizi ni "NO Reforms;No election". Wakinuna wale malimao😂. Mkiwafunga wote, watainuka mapadre na maaskofu watasema, watakuja wananchi wenyewe kumalizia yaani kufunga dimba.
Ndiyo maana mavijana ya CCM wanapigwa kelebu na vibinti.

Vumilieni hayo makofi
 
1. Mshahara 7m TZS/mwezi (take home).
2. Usafiri/Gari SUV (4WD), dereva na posho ya mafuta.
3. Kutumia VIP Lounge akiwa airport.

**Sasa jichanganye bodaboda eti unaenda kwenye kesi ya Lissu wakati wenzako mshahara unasoma
Ukiwa unaandika utoe mavi kichwani. Hawa wanao kuambia ukapige kura nao lete maslahi yao na lete na ubadhirifu wao na pension zao. Traassh
 
Back
Top Bottom