Mkuu kazi ya huyu jamaa itaaendelea tena sana.
Achana na hizi propaganda za TCRA ambazo hazifiki popote.
Wanazungumzia Digital wakati raia hawajui chochote, raia wao wanataka matangazo ya runinga na sio blah blah.
*Kwa mfano, juzi nikiwa Dar maeneo fulani, nikabidi ninunue King'amuzi cha Startime ili nipate matangazo ya digital, nimefika kwangu nikakiweka ili nitumie lakini sikufanikiwa kuona kitu chochote, jirani yangu akaniambia niunganishe pamoja na Antenna(Tube Lights), tahamaki ndio matangazo nikapata!!
Digital hapa Bongo bado sana.