Maskini Nkamia,afuta swali lake kwa Membe!

Maskini Nkamia,afuta swali lake kwa Membe!

Rutunga M

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2009
Posts
1,769
Reaction score
1,392
Yule mbunge mropokaji na msema hovyo Juma nkamia ,leo ameamua kufuta swali lake kwa wizara ya membe 'nafikiri' akiogopa kutoa matusi!
 
Jamani chuki too much! Ni mtanzania mwenzetu atajirekebisha,mmemsema sana this time.am sure ata remedy.
 
Yule mbunge mropokaji na msema hovyo Juma nkamia ,leo ameamua kufuta swali lake kwa wizara ya membe 'nafikiri' akiogopa kutoa matusi!

..........huyu jamaa kwisha habari yake yaani hana mvuto tena.....
 
eti anajiita alhaj, laana tupu huyu kiumbe. alhaj gani anakuwa msemaovyo kama yeye, akafie mbele....ova
 
Jamani chuki too much! Ni mtanzania mwenzetu atajirekebisha,mmemsema sana this time.am sure ata remedy.

Siyo asili ya wana CCM kujirekebisha wamezoea kujiona miungu watu,hiyo tabia ya kuropoka akaifanyie nyumbani kwake!
 
Badala atulie asome aamejisahau anadhani Ubunge ni moja ya taaluma zinazoweza kumweka kwenye watu nae aonekane mtu, shame on u.... hujui hata unatakiwa ufanye nini, unadhani uutaitwa mh mbunge 20 yrs, mbura! soma shule upate degree hiyo ndiyo security yako ndg, uheshimiwa hata matonya can be regarding amehonga na kurubuni waapiga kura!
 
nkamia lazima asahauliwe tu kwanza wanahabari kwa sasa wanampiga vita sana baada ya kuita MCT kuwa na NGOs inayojiendesha kimaslahi ya watu wachache hakika huyu harudi makamanda lini routs ya kwa nkamia ili kumwondoa mapema kabisa.
 
Mhindi alikuwa na house boy wake jina Juma ila mambo yalikuwa hivi: NYuumaaa ipe toto ---- (ball) ichezee itanyamaza, Juma akashusha suruali akaipa toto ----..!
 
Tatizo lako mheshimiwa Nkamia unafikiri muda wote unatangaza mechi ya simba na yanga ndo uongee unavyojisikia
 
Back
Top Bottom