Maskini Mzee Majuto!

Maskini Mzee Majuto!

Sikila shughuli msanii anafit, Mzee wangu majuto hivi kweli umetoka Tanga unaaga mkeo na watoto waenda Dar kwenye instar party? Hebu jiulize mara mbili, jitathmini upya kama ulistahili kuwepo kwa nafasi yako na umri wako, mambo mengine waachieni kina lee mutuz

Hata Mimi nimewaza hili...
 
attachment.php




Duuh hawa watu matapelii...ndio maana Bikira wa Kisikuma aliwakimbia!!
 
Hakuna mkataba kwenye kazi za hawa wasanii?

Kama kadhulumiwa basi ni kwa upumbavu wake na huyo dalali wake Wema...
 
Mwafrika mfiche maandishi tu.
Kazi haikuwa na mkataba?
 
Ina maana Wema hana namba za waandaji mpaka awaanike kwenye mitandao?
 
Party yenyewe mbona magumashi sasa ukumbini alikuwepo wema, dj na cute b tu ha ha ha sa hela za kulipa watu watoe wapi
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa! Ila jamaa Wa IG party wasanii Sana, wanamuoneaa Mzee majuto, ila nayeyee limemkutaa juzi Kati kawazingua jamaa wa waruanda walikua wanataka wakapige nae show akachomoa na pesa katia mfukonii, kaulizwaa anajibu kwa jeuri

What goes around comes around hahahaa majutoo weweee twende DIGITAL

Hahaaa
Basi sawa
 
Narudia tena hiyo party hakuna aliyelipwa kuanzia big brother big sister mpaka le Madame Wema.. Sijajua kwa nini Wema anatoa malalamiko ya mzee ya kwake hatoi.
 
Hawa jamaa washajialibia , kwanza walianza kuwachokonoa Nyama Choma , sasaivi tena hili kutomlipa mzee wa watu!!! Daah ndo baaas tena wabongo washawatosaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom