KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Ni kampuni yake naona anajitoa ili akishitakiwa ashitakiwe kama yeye siyo kampuni yake.Hiyo CZ ni kampuni ya nani?? Uskute kajifukuza kutafuta kiki tu
Ni kampuni yake naona anajitoa ili akishitakiwa ashitakiwe kama yeye siyo kampuni yake.Hiyo CZ ni kampuni ya nani?? Uskute kajifukuza kutafuta kiki tu
Nisawa na Mondi kumiliki 2% ya share jibu unalo...Hiyo CZ ni kampuni ya nani?? Uskute kajifukuza kutafuta kiki tu
kama kila analo sema ni kweli basi tumuamini tu kuwa amefukuzwa kazi na yupo kimya kuzungumzia hili...Hahaha yeye alisema ni mkurugenzi mmiriki, iweje afukuzwe?! Kesho atakuwa UHURU kuendeleza mapambano. Maana hana power ya kuita press tena.
Unamfukuzaje mmiliki?!kama kila analo sema ni kweli basi tumuamini tu kuwa amefukuzwa kazi na yupo kimya kuzungumzia hili...
Ht mi najua hivo
Inashangaza sana yaani mmiliki anafukuzwa????Kaka utashuhudia maajabu in the near future.... He is not done.... Trust me....!!!
Nielekeze namna ya kufuta account ya fbNilijitoa facebook
Face book au any other social medua haina shida na wala haitatokea kuwa na shida !tatizo wewe mtumiajiunaji associate na watu wa aina gani ?Nilijitoa facebook