UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,400
- 1,017
Nawaomba wenye mawazo ya busara na wanipe ushauri.mke wangu ni mfanyakazi wa serikalini katika mikoa ya kaskazini na mimi niko mko mwingine huwa nina tabia ya kumtembelea marakwamara ila tatizo nimekuwa na mashaka na mfanyakazi mwenziwe na kila nimulizapo analalama sana na kulia usiku mzima na hata saa nyingine kupoteza fahamu na kudai hana mahusiano kabisa na mtu huyo kabisa na kudai ni rafiki tu sasa nabaki njia panda nifanyeje coz huyo rafikiye kuna siku anakuja hapa nyumbani na kunikuta na tunaongea kidogo na kuondoka sasa sijui siku nisipokuwepo inakuwaje.