mji wa moshi unachafuliwa na siasa,ikifika wakati wa kuwaondoa machinga na mafundi cherehani,ccm wanawazuia maofisa wa manispaa kuendesha oparesheni wakidia kufanya hivyo ni kupoteza wapiga kura,leo ni miaka 20 jmbo la moshi liko upinzani na ccm hawana chao licha ya kudai hao ni wapiga kura wao.
1995-2000 alikuwa mtui wa NCCR-Mageuzi,2000-mpaka sasa mji umekamatwa na 'babu' ndesamburo na ccm kimya,
anayeuliza ndesa yupo ni kweli babu yupo huyo ni ng'ombe hazeeki maini
suluhisho la yote ni kuacha siasa za majitaka zinazofanywa na ccm,ukifika soko la mbuyuni uchafu umetanda hadi barabarani,nenda kata ya bondeni pale manyema ndo kabisaaaaaaa usiseme,nenda kata ya kiusa,gereje bubu ndo wamekamata mji,mitaro mingi ni michafu mpaka soko kuu limefungwa kwa sababu ya uchafu.
sifa ya mji wa moshi inapotea sanaaaaaaaaaaaa wala msijidanganye kwamba mji wa moshi ni msafi,usafi wa mji huu unaangaliwa katikati ya mji na si pembezoni mwa mji