GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,008
- 126,401
we apa mjini umejenga!?,au unakaa tu kwe kibaraza kwa babako ukinywa kahawa?.
Nalelewa.
we apa mjini umejenga!?,au unakaa tu kwe kibaraza kwa babako ukinywa kahawa?.
Chuki zitakuua. Pole sana kwa mawazo haya utaangaika sana.
Kwetu Ni Mwiko Kugombana Na Mashemeji Zako!
Miti mirefu imezidi maghorofa ha ha ha ha umenichekesha sanamkuu
Mapovu Ya Nini? Kwani Majambazi Na Matapeli Wengi Wanatoka Wapi Tanzania? Mmefilisi Hadi Che Nkapa!!!!!!!!!!!!!!!!!!
1.majambazi wanatoka kigoma, 2.matapeli kwao bukoba,
3.wa vigodoro dar na pwani,
4.wezi Wa mifukon Tabora ,
5.wachapa kazi na kujituma Moshi kilimanjaro,
6. Arusha mateja
Haya we GENTAMYCINE wa wapi? Kigoma??
Tunamshukuru muweka picha, maana hawajamaa kwa kujinadi...kumbe hata maghorofa yenyewe yanazidiwa na miti kwa urefu, si umeona mkuu ktk picha?
1.majambazi wanatoka kigoma, 2.matapeli kwao bukoba,
3.wa vigodoro dar na pwani,
4.wezi Wa mifukon Tabora ,
5.wachapa kazi na kujituma Moshi kilimanjaro,
6. Arusha mateja
Haya we GENTAMYCINE wa wapi? Kigoma??
Atokapo Hayati Mwalimu na Che Nkapa ( Tanzania ) / Cyagungu ( Rwanda ). Je Una Swali Lingine Mkuu?
7.Wadhulumaji jeee?
Moshi kubaya hasa kule pasua uswahilin
Mti wenye matunda ndo unapigwa mawe... Source ni kwamba watanzania wengi wanaichukia kilimanjaro pamoja na serikali ya ccm. Sababu kubwa ni kwamba wachaga ni wajanja..... na mngejua tu hii michaga ilivyo na mihela huko
benki ni shida kabisa. Kuna rafiki yangu anafanya benki amenipa mrejesho mpaka nimeshangaa.. Kwa mliopo benki mnaweza mkasaidia kwa hili...[/QUOTE![]()
Mweeeeh......×100! Nani aichukie kilimanjaro na kwa faida ipi? Kama mihela wanayo si yao na kwa faida yao.....ila kweli mji unatilia huruma kwa namna ulivyo ndo maana mleta mada kaanza na neno la unyonge sana " Masikini mji wa......" Ila hatuichukii kilimanjaro wala nini, isipokuwa ni hali halisi
Mti wenye matunda ndo unapigwa mawe... Source ni kwamba watanzania wengi wanaichukia kilimanjaro pamoja na serikali ya ccm. Sababu kubwa ni kwamba wachaga ni wajanja..... na mngejua tu hii michaga ilivyo na mihela huko
benki ni shida kabisa. Kuna rafiki yangu anafanya benki amenipa mrejesho mpaka nimeshangaa.. Kwa mliopo benki mnaweza mkasaidia kwa hili...[/QUOTE![]()
Mweeeeh......×100! Nani aichukie kilimanjaro na kwa faida ipi? Kama mihela wanayo si yao na kwa faida yao.....ila kweli mji unatilia huruma kwa namna ulivyo ndo maana mleta mada kaanza na neno la unyonge sana " Masikini mji wa......" Ila hatuichukii kilimanjaro wala nini, isipokuwa ni hali halisi
Umeshafika Moshi?? Hivi mtu akipiga picha pale kariakoo akaja aka conclude dar sewage system yote mbovu barabara zimejaa maji machafu utasupport??
Ubaya wa mji wa Moshi uko wapi?? Katolea mfano barabara moja tu ya kwenda KCMC vipi zingine zikoje??
Mti wenye matunda ndo unapigwa mawe... Source ni kwamba watanzania wengi wanaichukia kilimanjaro pamoja na serikali ya ccm. Sababu kubwa ni kwamba wachaga ni wajanja..... na mngejua tu hii michaga ilivyo na mihela huko
benki ni shida kabisa. Kuna rafiki yangu anafanya benki amenipa mrejesho mpaka nimeshangaa.. Kwa mliopo benki mnaweza mkasaidia kwa hili...[/QUOTE![]()
Mweeeeh......×100! Nani aichukie kilimanjaro na kwa faida ipi? Kama mihela wanayo si yao na kwa faida yao.....ila kweli mji unatilia huruma kwa namna ulivyo ndo maana mleta mada kaanza na neno la unyonge sana " Masikini mji wa......" Ila hatuichukii kilimanjaro wala nini, isipokuwa ni hali halisi
Roho inakuuma tu hebu weka mji wako ka si mapori chuki tu zimewzidi kwa wachaga na mtasanda mnapondea kujipa moyo poor you
Roho inakuuma tu hebu weka mji wako ka si mapori chuki tu zimewzidi kwa wachaga na mtasanda mnapondea kujipa moyo poor you
Chuki zikizidi wakamwone Daktari...