aiseeeee sawa basi tutaenda wka wenyewe si lazima chadema wala ccm okey
miss changa, huyu jama sijui ni mzaramo? Naona anataka kutuzingua!
aiseeeee sawa basi tutaenda wka wenyewe si lazima chadema wala ccm okey
miss changa, huyu jama sijui ni mzaramo? Naona anataka kutuzingua!
Ndo penyewe hapo boss city centre vipi unapatikana wapi wewe.[/QUOT
Thanx....kwa kunifahamisha, sijawahi fika mwenzio... ...mi nipo kijijini kwetu huku nimetulia
Wanachokijua Ni Mbwembwe Za Kujengea Tu Makaburi Kifahari Na Kuishi Ki Dili Dili Na Kimagumashi Humu Mijini Mwetu.
Binafsi nilishasema kuwa Moshi hapa endelei kabisa miaka nenda rudi, vijana wa kichaga wakanuna kweli.
Pazuriii.....miti mirefu hadi imezidi maghorofa, panavutia kwa utalii
Wanachokijua Ni Mbwembwe Za Kujengea Tu Makaburi Kifahari Na Kuishi Ki Dili Dili Na Kimagumashi Humu Mijini Mwetu.
Mdau Moshi inakuwa sana tu tena sio mjini nenda milimani kwako ndio utachoka kwani kuna nyumba na mahekalu kama uko DSM!
Tutoke kwenye ulevi wa vyama na utumbo wa chama flani kimefanya hivi. Moshi yetu tuipende na kuijenga kwa pamoja. Tuangalie maslahi yetu kwanza km tulivyolelewa na wazee wetu.
Hatua za mwanzo za vyama vingi iliwezekana kuwa na wanachama wengi tu wa upinzani na hata kushinda ubunge. Mfano hai imekua na wabunge wa vyama tofauti hata CCM nao wametoka na wamerudi wamechemsha wametupwa.
Tumelelewa kujua tunalotaka kwa wasiotujua. Msitupandikize michuki yenu.
Ni kweli Moshi hapa nyuma iliporomoka. Zile fine kubwa kubwa kwa kuchafua au kupaki hovyo zilisimama na ndo hali ikidorora. Juzi nimeenda na kushuhudia mabadiliko, wamekaza tena kiusafi naamini itarudi. Mzee eti Ndesa pia bado yupo.
Kuhusu ujenzi siridhiki na maendeleo ninayoyaona. kwa utajiri wa watu wa Moshi ningetarajia majengo mazuri na makubwa zaidi kama la NSSF pale.
Barabara pia zimeporomoka.
Ila Nina hakika wanamoshi watajenga na jitihada zipo.
Moshi ya wanamoshi Mi vyama yenu ya siasa sio agenda yetu kwenye maendeleo kama kwa jamaa flani flani humu.
Tuipende na kuilinda Moshi yetu Wanamoshi.
Wanachokijua Ni Mbwembwe Za Kujengea Tu Makaburi Kifahari Na Kuishi Ki Dili Dili Na Kimagumashi Humu Mijini Mwetu.
ha ha ha ha ha ha chuki tu inakuendesha
Akili yako finyu na utaishi kifinyufinyu hadi uwe maiti! acha chuku chapa kazi uwe kama wao! Tuwe na wivu wa maendeleo kama wao na tujuulize kwanini wanafanikiwa kila kukicha? kwanza wana ushirikiano na hawakati tamaa hawa jamaa. wewe baki unabung'aa na kusema wanaishi kimagumashi!