Igabiro
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 242
- 27
Kuna tetesi kuwa karagwe CCM wamechukua jimbo, hii ni baada ya kijina wa CHADEMA aliyekuwa akiongoza kwa tofauti ya kura 500+ kukubali kurudia kuhesabu kura, hii inatokana na Mh. wa zamani (Sr. Kahama) kumuaidi (pleadge) kiasi cha 200Millioni ili hata akishindwa apoze machungu. Hii ni very sad. Ilitakiwa aige mfano wa Mrema wa Arusha mjini yeye alisema kura hazihesabiwi upya labda kama Mungu anashuka.