manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,723
Nilipata moyo kwamba tunawezaboresha mambo kadha wa kadha ikiwa ni pamoja na kumpora baadhi ya madaraka ila nimepata wasiwasi sana jinsi ile bajeti ya juzi ilivyopitishwa kwa ndiyooooooooooooo.
Kweli hata mabadiliko ya katiba yatapingwa kwa kura ya ndiyooooooooooooooooooooo.
Ndiyooooooooooooooooooo itatupeleka pabaya.
Kweli hata mabadiliko ya katiba yatapingwa kwa kura ya ndiyooooooooooooooooooooo.
Ndiyooooooooooooooooooo itatupeleka pabaya.