Maskini JK namuonea huruma!

Nilipata moyo kwamba tunawezaboresha mambo kadha wa kadha ikiwa ni pamoja na kumpora baadhi ya madaraka ila nimepata wasiwasi sana jinsi ile bajeti ya juzi ilivyopitishwa kwa ndiyooooooooooooo.
Kweli hata mabadiliko ya katiba yatapingwa kwa kura ya ndiyooooooooooooooooooooo.
Ndiyooooooooooooooooooo itatupeleka pabaya.
 
unategemea kufuga kuku halafu watage mayai ya bata kisa eti jiran anafuga bata.haya ndo matunda yake
 
Ndugu mbona unazunguka sana? Nimesema mjanja ujifunza kwa makosa ya watu wangine na si kwa makosa yake, Jk alitakiwa kurekebisha makosa ya awamu zilizomtangulia, hata Raisi atakae kuja baada yake kama atashindwa kurekebisha makosa ya awamu zilizomtangulia naye tutamshambulia na kumpa majina kama tunavyofanya kwa Jk bila kujali atakuwa nani au anatoka chama gani.

Umemwelewa Baky.? Anakwambia Uvundo wa miaka 35 kuusafisha ndani ya miaka 6 ni jambo lisilowezekana kwa kifupi nyie watu hamrizon, mnaongea tu mradi mdomo ni nyumba ya Maneno!!
 
bunge lina malaka ya kupiga kura ya kutokuwa na imani na rais ndugu yangu!!! Na likifanya hivi rais anavunja bunge na kuitisha uchaguzi mpya hapo ndio karatasi inaweza kuamua tena lakini tujiulize bunge letu lina wabunge wa aina ganii? Ni wale wa ule wimbo wa hip pop wa ndio mzee!!! (i.e wabunge wa sisim)

ndio, bunge linamamlaka hayo, ndiyo maana nikaliita KOCHA WAKE hapo juu, lakini halitaki kutupia taulo ulingoni (kupiga kura ya kutokuwa na imani naye) ili mpambano uishe na Jk apumzike.
 
Watch/Read my lips - nimesema katika kipindi cha takribani miaka 30 na ushee tulikuwa na matatizo kama haya haya, mbona mlikosa ujasiri wa kuwasema/kuwalaani walio mtangulia kwa kushindwa KWAO kurekebisha MAMBO, repeat WHY PICK ON HIM?

Kitu kingine wana JF wana uhuru wa kutoa maoni yao - we can agree to disagree, hivyo ni vema kutumia lugha za staha, alafu haipendezi kujadili watu na mambo yao binafsi ambayo hatuna ushahidi nayo, kwa mfano: Sijuhi kama una ushahidi wa kuonyesha kama uliye mtaja humu anuhusika na tuhuma za Babu SEYA! Hayo mambo ya Babu huyo yanakujaje hapa? Wakati mwingine tunapashwa ku-refrain from chuki zetu binafsi kutawala jamvini badala ya kujadili vitu vya kusaidia TAIFA letu kustawi - nimesema mpeni maoni yenu ya kulisaidia TAIFA letu na sio kumshutumu come rain or shine, period.

Ndugu, mbona umeng'ang'ania sana miaka 30 iliyopita? Watanzania wa sasa siyo wale wa miaka 30 iliyopita, na wakati huo nchi ilikuwa ya chama kimoja na tulikuwa haturuhusiwi kusema neno zaidi ya zidumu fikra za mwenyekiti na pia rasili mali zetu nyingi zilikuwa hazitumiki na hakukuwa na mitandao ya kijamii kama sasa, habari zote tulitegemea RTD na magazeti ya Uhuru na Mzalendo, pia kumbuka miaka 30 iliyopita idadi kubwa ya wanachama humu Jf tulikuwa watoto, mimi nilikuwa na miaka mitano. Inamaana kiongozi akishindwa kurekebisha makosa ya waliyomtangulia asilaumiwe? Na kama hawezi kurekebisha basi aachie ngazi, tutafute watakaoweza. Usitetee U-dhaifu.
 
Ndugu, mbona umeng'ang'ania sana miaka 30 iliyopita? Watanzania wa sasa siyo wale wa miaka 30 iliyopita, na wakati huo nchi ilikuwa ya chama kimoja na tulikuwa haturuhusiwi kusema neno zaidi ya zidumu fikra za mwenyekiti na pia rasili mali zetu nyingi zilikuwa hazitumiki na hakukuwa na mitandao ya kijamii kama sasa, habari zote tulitegemea RTD na magazeti ya Uhuru na Mzalendo, pia kumbuka miaka 30 iliyopita idadi kubwa ya wanachama humu Jf tulikuwa watoto, mimi nilikuwa na miaka mitano. Inamaana kiongozi akishindwa kurekebisha makosa ya waliyomtangulia asilaumiwe? Na kama hawezi kurekebisha basi aachie ngazi, tutafute watakaoweza. Usitetee U-dhaifu.

Ndugu, usipoteze lengo - please revisit post yangu ya kwanza, nilitangulia kuzungumzia kipindi cha Mzee Ruksa alafu nikaja kipindi cha taugh BENNY hapo tunazungumzia miaka 20 (ishirini) kipindi cha Kambarage niliongezea tu ku-draw attention ya wana JF wajue mambo ya Viongozi kushindwa kuwajibika ipasavyo na udokozi havikuhibuka gafla bin voom! Sasa swali: Je katika kipindi hicho kulikuwepo magazeti ya watu binafsi mangapi? Radio na TV za watu Binafsi ngapi? Vyama vya upinzani vingapi? Kumbuka kwamba katika kipindi hicho kulikuwa na uhuru wa vyombo vya habari hadi leo, vile vile na vyama vya upinzani viliruhusiwa lakini madudu yalikuwa yanaendelea unabated, two decades is no laughing matter. Kusema ulikuwa mtoto is no excuse kwa nini usomi historia au kuhuliza walio kuzidi umri ili at least uwe na basis za kumlahumu bila simile kiongozi wako wa sasa hivi, kumbuka kuna wana JF wa lika lako ambao wanafanya utafiti kwanza (past history) kabla ya ku-file posts za kulahumu leadership quality ya Kiogozi mkuu wa TAIFA kwa kuangalia mabaya tuu wakati wote bila ya kuzungumzia mazuri ambayo amefanyia TAIFA hili within six years of his admistration. See - watu makini usema no research no....

JK ni mswahili mwenzetu sio mtawala (Kiongozi) kutoka nchi za nje (mkoloni), wala sisemi JK ni Malaika Gabriel kwa hiyo hana mapungufu yake kama binadamu wingine tulivyo, cha muhimu hapa ni sisi kubadirisha mind set zetu tuweze kumpa ushirikiano, ushauri na maoni kwa ajili ya ustawi wa TAIFA letu bila kutumia lugha za kashfa na mambo ya kumkatisha tamaa; tutabaki TAIFA la kulalamika mpaka lini? Mbona mtu kama Zitto Kabwe anatoa ushauri/maoni yenye mshiko na Serikali yetu tukufu inamsikiliza - WEWE JE?
 
Kuna vituko duniani wewe ndio wa kumuonea huruma JK..
Jionee huruma wewe mwenyewe kabla hujawaonea huruma wengine

asset.php


Kweli kuna watu wenye roho ngumu...yaani hata hawamwonei huruma huyu jamaa!
 
Ndugu, usipoteze lengo - please revisit post yangu ya kwanza, nilitangulia kuzungumzia kipindi cha Mzee Ruksa alafu nikaja kipindi cha taugh BENNY hapo tunazungumzia miaka 20 (ishirini) kipindi cha Kambarage niliongezea tu ku-draw attention ya wana JF wajue mambo ya Viongozi kushindwa kuwajibika ipasavyo na udokozi havikuhibuka gafla bin voom! Sasa swali: Je katika kipindi hicho kulikuwepo magazeti ya watu binafsi mangapi? Radio na TV za watu Binafsi ngapi? Vyama vya upinzani vingapi? Kumbuka kwamba katika kipindi hicho kulikuwa na uhuru wa vyombo vya habari hadi leo, vile vile na vyama vya upinzani viliruhusiwa lakini madudu yalikuwa yanaendelea unabated, two decades is no laughing matter. Kusema ulikuwa mtoto is no excuse kwa nini usomi historia au kuhuliza walio kuzidi umri ili at least uwe na basis za kumlahumu bila simile kiongozi wako wa sasa hivi, kumbuka kuna wana JF wa lika lako ambao wanafanya utafiti kwanza (past history) kabla ya ku-file posts za kulahumu leadership quality ya Kiogozi mkuu wa TAIFA kwa kuangalia mabaya tuu wakati wote bila ya kuzungumzia mazuri ambayo amefanyia TAIFA hili within six years of his admistration. See - watu makini usema no research no....

JK ni mswahili mwenzetu sio mtawala (Kiongozi) kutoka nchi za nje (mkoloni), wala sisemi JK ni Malaika Gabriel kwa hiyo hana mapungufu yake kama binadamu wingine tulivyo, cha muhimu hapa ni sisi kubadirisha mind set zetu tuweze kumpa ushirikiano, ushauri na maoni kwa ajili ya ustawi wa TAIFA letu bila kutumia lugha za kashfa na mambo ya kumkatisha tamaa; tutabaki TAIFA la kulalamika mpaka lini? Mbona mtu kama Zitto Kabwe anatoa ushauri/maoni yenye mshiko na Serikali yetu tukufu inamsikiliza - WEWE JE?

U guy look so funny! To keep records clear JK tenure is 7.5 years old. Wake up the huyu unayejaribu kumpaka mafuta kajaa matope u are wasting your time. If u failed to clear the mess of past tenure{if at all there was any} in 7.5 years how many years do u need? Ushauri gan unataka kumpa mtu ambaye alikuwa waziri for more than 15 years na hajajifunza chochote na ukategemea ataufanyia kazi in 2.5 years left? Au unataka aongezewe mda? JK is a complete failure and he has done a demage which is beyond repair! We simply need a new start. U can't fix anything as yet! Watu wengine bwana!
 
Bado tuko kwenye ndege na auto pilot, Kila jambo linajiendesha lenyewe:
 
JK kinachomponza ni woga wa kuchukua maamuzi magumu dhidi ya mafisadi wanaoliteketeza taifa.:dance:
 
[QUOTEJK ni mswahili mwenzetu sio mtawala (Kiongozi) kutoka nchi za nje (mkoloni), wala sisemi JK ni Malaika Gabriel kwa hiyo hana mapungufu yake kama binadamu wingine tulivyo, cha muhimu hapa ni sisi kubadirisha mind set zetu tuweze kumpa ushirikiano, ushauri na maoni kwa ajili ya ustawi wa TAIFA letu bila kutumia lugha za kashfa na mambo ya kumkatisha tamaa; tutabaki TAIFA la kulalamika mpaka lini? Mbona mtu kama Zitto Kabwe anatoa ushauri/maoni yenye mshiko na Serikali yetu tukufu inamsikiliza - WEWE JE?[/QUOTE]

Unataka JK ashauriwe? hilo ni sikio la kufa halisikii dawa! Well, nashauri afanya yafuatayo
1. Tunataka awafikishe mahakamani wezi wote wa EPA waliorudisha na ambao hawakurudisha pesa za EPA.
2. Tunataka awafikishe mahakamani wezi wote wa rada el maarufu chenji ya rada (SIC!)
3. Tunataka awavue magamba wale wote wanaotuhumiwa kwa ufisadi katika chama chake
4. Tunataka atekeleza ahadi zake alizozitoa wakati wa kampeni kwa vitendo
5. Tunataka apunguze matumizi ya serikali kwa kupunguza ukubwa wa baraza la mawaziri na kupunguza safari za ng'ambo
6. Tunataka awachukulie hatua za kisheria na kinidhani wale wote waliotajwa kwenye report ya CAG
7. Tunataka aache kufanya biashara akiwa IKULU kwa mgongo wa Riz1
8. Tunaomba adhibiti mfumko wa bei (how? anao wataalumu awatumie)

I'm sure akiweza kufanya hata nusu ya hayo niliyoyataja katika kipindi kilichobaki basi atarudisha imani ya CCM. Naomba umfikishie tuone kama JK anashaurika na pia ni msikivu
 
Vina panda bei kila siku vitu vinapanda bei x 3.
we mama weeee x 1.
Kajana mmoja anasikika akiimba redioni.
jela jela aaaaah
bora niludi jelaa..
kipande cha sabuni 650
bora niludi jelaaa
nambie bei ya unga itakuajeeee

aliimba kijana mwingine uyo
 
Bukyanagandi Hebu tujaribu ku-analyse awamu zote tatu bila kuwa biased/jazba said:
Economic TURMOIL na Mismanagement[/B] kwa kipindi cha miaka 35 (thelathini na TANO) repeat 35 kabla ya Jakaya hajashika usukani, hilo watu awalioni/kumbuka. Hivi tunamtendea haki kutegemea kwamba Jakaya anaweza kweli kusafisha madudu walio hacha wenzake within a record TIME ya miaka SITA!!!! hata Marshal plan haikuwahi ku-achieve such a feat at such a megaspeed.
[/B]

Bukyanagandi

If I get you correctly ni kwamba for the past 35 we have been in ECONOMIC TURMOIL AND MISMANAGEMENT not because of Kikwete but because of CCM. Hivyo kutegemea Kikwete to clear this mess is like repeating the same thing and expecting different results! Therefore if we real want to clear this mess is to get rid of CCM. Correct me if I got you wrong.
 
Ndugu, usipoteze lengo - please revisit post yangu ya kwanza, nilitangulia kuzungumzia kipindi cha Mzee Ruksa alafu nikaja kipindi cha taugh BENNY hapo tunazungumzia miaka 20 (ishirini) kipindi cha Kambarage niliongezea tu ku-draw attention ya wana JF wajue mambo ya Viongozi kushindwa kuwajibika ipasavyo na udokozi havikuhibuka gafla bin voom! Sasa swali: Je katika kipindi hicho kulikuwepo magazeti ya watu binafsi mangapi? Radio na TV za watu Binafsi ngapi? Vyama vya upinzani vingapi? Kumbuka kwamba katika kipindi hicho kulikuwa na uhuru wa vyombo vya habari hadi leo, vile vile na vyama vya upinzani viliruhusiwa lakini madudu yalikuwa yanaendelea unabated, two decades is no laughing matter. Kusema ulikuwa mtoto is no excuse kwa nini usomi historia au kuhuliza walio kuzidi umri ili at least uwe na basis za kumlahumu bila simile kiongozi wako wa sasa hivi, kumbuka kuna wana JF wa lika lako ambao wanafanya utafiti kwanza (past history) kabla ya ku-file posts za kulahumu leadership quality ya Kiogozi mkuu wa TAIFA kwa kuangalia mabaya tuu wakati wote bila ya kuzungumzia mazuri ambayo amefanyia TAIFA hili within six years of his admistration. See - watu makini usema no research no....

JK ni mswahili mwenzetu sio mtawala (Kiongozi) kutoka nchi za nje (mkoloni), wala sisemi JK ni Malaika Gabriel kwa hiyo hana mapungufu yake kama binadamu wingine tulivyo, cha muhimu hapa ni sisi kubadirisha mind set zetu tuweze kumpa ushirikiano, ushauri na maoni kwa ajili ya ustawi wa TAIFA letu

Sawa ndugu, walikuwa wadokozi na walishindwa kuwajibika. Hapa inaonekana unataka kutuambia kwamba kila kiongozi atakaekuja ana haki ya kufanyanya madudu kwakuwa waliomtangulia walifanya hivyo na wananchi hatuna haki ya kuhoji kwa sababu hapo mwanzo hatukuhoji. Maswali yako yamejibiwa hapo juu na wakuu; ALBERAPS na BOBUK.
 
Sawa ndugu, walikuwa wadokozi na walishindwa kuwajibika. Hapa inaonekana unataka kutuambia kwamba kila kiongozi atakaekuja ana haki ya kufanyanya madudu kwakuwa waliomtangulia walifanya hivyo na wananchi hatuna haki ya kuhoji kwa sababu hapo mwanzo hatukuhoji. Maswali yako yamejibiwa hapo juu na wakuu; ALBERAPS na BOBUK.

Ndugu Joe, Ndugu wataja wamenielewa vizuri sana - wamenitia moyo, wako makini sana ku-analyse mambo with an open mind! Hii ni dalili tosha kwamba wanajali TAIFA lao na hatma yake kuliko itikadi zao. Ntawajibu in details usiku huu.
 
Ndugu Joe, Ndugu wataja wamenielewa vizuri sana - wamenitia moyo, wako makini sana ku-analyse mambo with an open mind! Hii ni dalili tosha kwamba wanajali TAIFA lao na hatma yake kuliko itikadi zao. Ntawajibu in details usiku huu.

aksante kwa hilo, kila la kheli ndugu yangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom