Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 74
Historia inaonyesha kuwa watu maskini badala ya kusaidiana mara nyingi hupoteza muda kuchukiana, kutengana na kuharibiana, badala kushirikiana etc? mfano maskini mwizi atapigwa na maskini wezanke mpaka kuuliwa, lakini hao maskini si rahisi kumchukia tajiri mwizi waungane wampige..utakuta rupia zinapitishwa maskini wanagawanyika wanachukiana wao kwao...
Viongozi wazuri wanatakiwa wawe matajiri kwanza kabla, maana maskini akipata cheo hakumbuki maskini, akipata utajiri hudharau maskini wenzake wa zamani.
Maskini akiwa kiongozi ni vigumu kufanya uadilifu mia kwa mia, anakuwa na vikwazo na vishawishi vingi..vya kutumia mali ya umma kwa faida yake mwenyewe.
Conclusion: Tutafute kiongozi tajiri muadilifu atasaidia maskini, lakini maskini muadilifu leo huwezi ku-garantee uadilifu wake baada ya kupata cheo.
Viongozi wazuri wanatakiwa wawe matajiri kwanza kabla, maana maskini akipata cheo hakumbuki maskini, akipata utajiri hudharau maskini wenzake wa zamani.
Maskini akiwa kiongozi ni vigumu kufanya uadilifu mia kwa mia, anakuwa na vikwazo na vishawishi vingi..vya kutumia mali ya umma kwa faida yake mwenyewe.
Conclusion: Tutafute kiongozi tajiri muadilifu atasaidia maskini, lakini maskini muadilifu leo huwezi ku-garantee uadilifu wake baada ya kupata cheo.