Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,435
- 1,967
Bahati mbaya neno la kiswahili ni moja tu mzuri. Lakini kwakiingereza ni handsome ( me) na beautiful (ke). Sijaona kosa la mtoa mada hapo,na mtu kuwa Handsome si dhambi wala vibaya. Mi nilivyoelewa anasympathise tu na mdadaanenyongonyea kichinichini.
Maana unakuta mtu ni- Handsome, na kipaji Fulani, kichwanikuko vizuri, ana kazi nzuri, ana pesa ana gari juu. Hapo majaribu ni mengi,inabidi mikakati ya kukataa in a polite and diplomatic way iwepo.
Halafu hili jamani ni MMU kirefu chake ni Mapenzi Mahusianona Urafiki ni mada pana. Hivyo endapo mada ingekuwa imewekwa jukwaa la siasalabda lakini kwa maoni yangu hapa ni mahala pake kabisa.
Maana unakuta mtu ni- Handsome, na kipaji Fulani, kichwanikuko vizuri, ana kazi nzuri, ana pesa ana gari juu. Hapo majaribu ni mengi,inabidi mikakati ya kukataa in a polite and diplomatic way iwepo.
Halafu hili jamani ni MMU kirefu chake ni Mapenzi Mahusianona Urafiki ni mada pana. Hivyo endapo mada ingekuwa imewekwa jukwaa la siasalabda lakini kwa maoni yangu hapa ni mahala pake kabisa.