Sioni ethics za udaktari hapa
Hakuna kitanda maalum cha kumfanyia mgonjwa uchunguzi
Glove imevaliwa mkono mmoja
Mwandishi/waandishi kuruhusiwa kuingia mpaka ndani ya chumba cha matibabu
Licha ya tukio zima kuonyesha wazi ni la kuandaa lakini walioliandaa daktari mgonjwa na waandishi kwa ufinyu wao mdogo wa akili kwa kukosa weledi (kudhalilisha tasnia ya udaktari )na hata uelewa wao wamekosa kabisa kutengeneza uhalisia wa tukio
Mgonjwa ni kanjanja
Daktari ni kanjanja
Mwandishi ni kanjanja
Na hata gazeti lenyewe ni kanjanja (inafika mahali unaona ni afadhali usome hata uhuru kuliko haya magazeti ya udaku)