Kutoka kwa mwenyekiti wa simba,
ismael aden rage anadai katunzi mmiliki wa tp mazembe amemwambia kuwa wasaka vipaji wa manchester city wame2mwa kumwinda mbwana samatta ambaye samani yake ni paundi mil 10.
hii lugha ya Kiswahili ngumu sana, mkuu una maana vitanda, makabati, meza na mazagazaga yake yana thamani ya paundi mil 10 au Samata ana thamani ya paundi mil 10?
Kutoka kwa mwenyekiti wa simba,
ismael aden rage anadai katunzi mmiliki wa tp mazembe amemwambia kuwa wasaka vipaji wa manchester city wame2mwa kumwinda mbwana samatta ambaye samani yake ni paundi mil 10.