Masikitiko: James Lembeli kupigwa chini

Masikitiko: James Lembeli kupigwa chini

rudi utawaze kwanza.mabadiliko lazima mwaka huu
 
ni sawa tujitambue, mwambie huyo kichaa mwenzio aache kuweka mapicha kwenye uzi za ukawa. Aanzishe za kwake fresh

thats typical and true colours of ukawa ......ubinafsi na matusi...povu la nini...hii ni jamii forum...kila mtu ana uhuru wa kuandika anachotaka...hakuna mwenye thread hapa.....mambo yako ya kaskazini yapeleke huko...tena andika kwa kilugha chako cha asili kama unataka kumiliki thread....
 
DEBE TUPU kama upo Masaki jamaa wanapoteza pesazao kukulipa kwani hata hiyo kazi pia huiwezi.Zero brain
 
mleta uzi bila shaka ndani ya kichwa chako mna friji hivyo ubongo wako umeganda.HAYA KIMBIA LUMUMBA UKACHUKUE BUKU SABA YAKO MANA MIDA YA LANCH HII.

Hahaaaaaaaa I love jf: yaani nimecheka mno hadi nimelia eti kichwani kwa mtu kuna friji. ...teh teh teh. Sasa hivi kwa nini hampendi habari za huzuni mnapenda furaha tuuu?
 
Hatimaye ngome ya Chadema imevunjwa na waliokuwa viongozi wa chadema jimbo la Kahama kutokana na kutokubaliana na ujio wa James Lembeli katika jimbo hilo huku wazawa, wazalendo na waanzilishi wa chadema katika jimbo hilo wakitupiliwa mbali. Wanachama na viongozi hao wamesema hawako tayari kubuluzwa na wameamua kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya Taifa.

La kuvunda huwa halina ubani. Dhambi ya usaliti itaambatana naye kokote aendako
 
Hatimaye ngome ya Chadema imevunjwa na waliokuwa viongozi wa chadema jimbo la Kahama kutokana na kutokubaliana na ujio wa James Lembeli katika jimbo hilo huku wazawa, wazalendo na waanzilishi wa chadema katika jimbo hilo wakitupiliwa mbali. Wanachama na viongozi hao wamesema hawako tayari kubuluzwa na wameamua kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya Taifa.

Mnajitekenya na kucheka wenyewe! Mwaka huu Kahama for Ukawa.
 
Hatimaye ngome ya Chadema imevunjwa na waliokuwa viongozi wa chadema jimbo la Kahama kutokana na kutokubaliana na ujio wa James Lembeli katika jimbo hilo huku wazawa, wazalendo na waanzilishi wa chadema katika jimbo hilo wakitupiliwa mbali. Wanachama na viongozi hao wamesema hawako tayari kubuluzwa na wameamua kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya Taifa.
Ma....ku mkubwa weeee
 
Lembeli ni jembe,hata alipokuwa ccm hakuogopa kusema ukweli,ndo wabunge tunao wataka,sio wabunge wenu wa ccm kila hoja inayoletwa na serikali wanaunga mkono mia kwa mia.
 
Hatimaye ngome ya Chadema imevunjwa na waliokuwa viongozi wa chadema jimbo la Kahama kutokana na kutokubaliana na ujio wa James Lembeli katika jimbo hilo huku wazawa, wazalendo na waanzilishi wa chadema katika jimbo hilo wakitupiliwa mbali. Wanachama na viongozi hao wamesema hawako tayari kubuluzwa na wameamua kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya Taifa.

Popoma wewe,Lembeli yuko fiti na sasa kamaliza mkutano mkuuuubwa Kakola na amesema ashamliza kampeni Kahama.
 

Attachments

  • 1443267070637.jpg
    1443267070637.jpg
    70 KB · Views: 963
  • 1443267106776.jpg
    1443267106776.jpg
    71.4 KB · Views: 728
  • 1443267137429.jpg
    1443267137429.jpg
    70.4 KB · Views: 711
  • 1443267170797.jpg
    1443267170797.jpg
    56.7 KB · Views: 687
  • 1443267185392.jpg
    1443267185392.jpg
    52.7 KB · Views: 632
ala! Mnaleta habari za kizushi mpaka majimbo hamkubaliki? Hebu kuweni serious.
 
Hivi masilahi mapana ya taifa maana yake huwa ni kwa manufaa ya CCM?
 
Ndo madhara ya kuleta uzi huku upo chooni, maana umesahau kuchamba...
 
Eenhe,ebu tupia vitu!Hv yule Kishmba anayegombea Kahama ndo huyo wa Imalaseko?
Ndo yeye mkuu kazi ipo Lembeli aongeze bidii huyu jamaa alishaanza harakati enzi ya mkapa si wakupuuzwa.
 
Back
Top Bottom