Mbona mumeo ana msupport lowassa?Kwani lembeli alijiunga na chadema mbona alikuwa anasema Lowasa ni jambazi sugu la ufisadi imekuwaje kaungana naye.
Inabidi ukapate ushauri kwa Dakitari inawezekana ubongo umecheza kidogo.
maslahi ya Taifa au maslahi binafsi??Hatimaye ngome ya Chadema imevunjwa na waliokuwa viongozi wa chadema jimbo la Kahama kutokana na kutokubaliana na ujio wa James Lembeli katika jimbo hilo huku wazawa, wazalendo na waanzilishi wa chadema katika jimbo hilo wakitupiliwa mbali. Wanachama na viongozi hao wamesema hawako tayari kubuluzwa na wameamua kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya Taifa.
Kahama wanajitambua, wewe kama bado chukua hatua.
Hatimaye ngome ya Chadema imevunjwa na waliokuwa viongozi wa chadema jimbo la Kahama kutokana na kutokubaliana na ujio wa James Lembeli katika jimbo hilo huku wazawa, wazalendo na waanzilishi wa chadema katika jimbo hilo wakitupiliwa mbali. Wanachama na viongozi hao wamesema hawako tayari kubuluzwa na wameamua kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya Taifa.
Yaani ubabaishi kama huuu tumewachoka jamaniiii miaka hamsini imetosha
Ebana huu ndo ukichaa uliokubuhu,zungumzeni fact, toa uthibitisho kwa kupinga hoja.